yaani JK hakuna rangi ataacha kuona mwaka huu
Serikali inasubiri nini, si ipeleke wanajeshi nchi nzima wakafundishe!!, Ngoja na walimu wa vyuo vikuu nao wanukishe nasikia ipo jikoni, na huko napo wawaandae wanajeshi kwenda kukata nyanga. Sipati picha maafande wakate nyanga pale CoET.
only n Tanzania under CCMKuongoza kazi kweli,unaweza kumpa uwaziri hata muuza mchicha,kisa uliskuli naye