Philipo Kidwanga
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 2,042
- 599
wanajeshi wa kikwelikweli sio wanajeshi wanachukua wake za watu wakizuiwa wanachukuana wanakuja mtaani kufunga mtaa halafu wakisikia mlio wa puto wanazama mtaroni.
Naona uwetuwekea picha za tokea mwaka 2009...
Angalia picha ya kwanza upande wa kulia chini...sio kweli kibs..mimi nilikuwa eneo la tukio ..ama lete uthibitisho wako
Angalia picha ya kwanza upande wa kulia chini...
sio hivyo..ni kwa ajili ya kujilinda na wajinga ..mfano Hitler..mjitu kama hitla ukiichekea inamaliza kizazi choteOne duty. Kuteketeza binadamu wenzao.kazi kwelikweli