Wadau, hivi Askari wa JWTZ na Polisi wataruhusiwa kupiga kura kweli siku hiyo? Na kama ni haki yao kikatiba, utaratibu gani utafanyika ili wapige kura? Maana Polisi watakuwa mitaani na kwenye vituo kwa ulinzi na JWTZ huenda wakawa makambini siku hiyo sasa watapigia wapi kura zao? Au kuwa Mwanajeshi ama Polisi basi kura yako ndo harijojo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.