chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 12,014
- 34,716
Sio mambo yote unatakiwa utumie hii alama "?" mambo mengine ukitumia hii alama "." utaonekana na busara sana.wanajeshi wangapi? waliwezaje kumpiga wakashindwaje kumbaka? aache uongo aseme tu kapewa kipigo