Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 749
- 1,797
Baadhi ya wanajeshi kutoka kikosi cha TMA Monduli wanaolinda chanzo cha maji katika kijiji cha Olgilai Arumeru wamemtesa kwa kipigo msichana Neema Alfred baada ya kuwakatalia tendo la ndoa walilohitaji baada ya msichana hiyo kupita eneo hilo wakati akitoka kuokota kuni.