ni kweli naomba unisaidie uliiona wapi ndugu kwasab niliiweka kwenye jukwaa la technologia na baada ya hapo sikuiona tena thred hii!
Kwani batini kwako wanafanya nini? Na unajuaje ni paka? Na unajuaje ni wa jirani yako? Na wanakaa muda gani? Unasikia wakifanya nini?