Tukutane BONDE LA MTO MSIMBAZI.
Tukutane Mbande kwenye njiapanda ya kwenda Kongwa. Pale unapata mbuzi mzima hata kwa buku tatu tu.
pale kwenye nyama chafu??? ukifika angalia miguu kabla ya kuanza kula yale mapande, hukawii kukuta mbwa
kwa donii usa river.
bonde kubwa lile ndugu, be spesifiki.
Kule Kigogo Mburahati, hapa Jangwani au kule Salendar Bridge kwenye mikoko?
I see mpaka sina mwaliko, ukinialika ntakuja faster!! Lat, Husninyo, mbona hatukaribishani? lol!
wewe zipuwawa! Ndio nauliza tukikutana zipu yako itakuwa waa? Lol.
Husn leo kura yangu huna! Nabaki nayo! Mwenyewe waona huku umejifiiiicha! Wabwabwaja tu!