Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
mods hii iende kwenye biashara or probably kwenye jokes
Ipeleke basi kama inakuchokonoa kihivyo
mods hii iende kwenye biashara or probably kwenye jokes
This just makes the whole 'war against ufusadi' thing sound rather moronic.. This could never be effective therefore there is no point in even wasting time debating it..
Nani huwa anarekodi hiyo makitu?Mengi nini??Hilo la mafumbo hata mie nimelisikia sasa na hawapokei kabisa simu ambazo hawazijui..Yote haya yanasababishwa na Mengi..
Anawafuata fuata sana watu wa Jedwali la RA
Fallacious argument at its best. Hakuna masika yaso na mbu, ni either tunakubali mabadiliko kwa manufaa ya wengi au tunaendelea kupigika kwa manufaa ya wachache, the options are in front of us.
Inashangaza pamoja na thread kufika mpaka page zaidi ya 10, kuna mediocre-thinking individuals bado wameshindwa ku-decipher the thread mpaka usawa huu..lol
MODs, kuna uhalali wowote wa mada hii kuendelea kuwepo?
Ni vema tukawa na standards zinazoapply kwa all JF members. Kama habari/mada ipo 'empty' na inamwelekeo wa kuathiri biashara/masahi ya watu (RA si pekee mmiliki wa Vodacom, Vodacom SA wana 65% shareholding!) ni vema ikawa na supporting evidence/facts za kutosha kabla haijaqualify kuwekwa hapa JF (or at least kwenye jukwaa hili!)
Kwa sababu ni habari inayoweza kuathiri maslahi ya kibiashara ya vodacom ama ya 'usalama' wa wanaharakati, kama ina ukweli wowote basi ni vema ukweli huo mtoa mada akau substantiate, vinginevyo nawaomba MODs waifute (With due respect kwa Mzee Mwanakijiji).We better stick to our motto: JF, Where We Dare to Talk Openly!
Kwa sababu ya mapungufu yake, hii mada naona inaleta malumbano yasiyo na msingi. Kama, mtoa mada mpaka sasa hajajibu (au kufafanua) maswali ya wanajamvi, binafsi sioni uhalali wa mada hii kuendelea kuwepo hapa.
Je, wewe unataka kutuambia kuwa ni Mwanakijiji lakini unatumia jina tofauti?
We have been warned. Kama hatutaki kusikiliza ushauri, shauri yetu
Juzi juzi tu niliona post inayotaka watu kususia bidhaa za duka la Mlimani Game, sikuona mtu yeyote iliyesema kuwa hiyo post ifutwe!Mbona hii ya Vodacom kuna baadhi ya watu imewaudhi sana? .................. Sasa likija hili swala la kususia Vodacom, hapa nchini kweti, mbona inakuwa shida?? Mimi nitasusia, na nitaendeleza kusambaza neno kwa watu wengi nitakavyoweza, kuwa kutumia bidhaa kutoka kwa watu wanaohujumu uchumi wetu ni sawa na kujiweka kitanzi mwenyewe. Wewe unayetaka kuendelea nayo, endelea tu, hukatazwi.
Juzi juzi tu niliona post inayotaka watu kususia bidhaa za duka la Mlimani Game, sikuona mtu yeyote iliyesema kuwa hiyo post ifutwe!Mbona hii ya Vodacom kuna baadhi ya watu imewaudhi sana? Nimeshiriki sana katika kususia bidhaa na vitu mbalimbali, na kwa kumbukumbu zangu nakumbuka tulshasusia hata bidhaa za Afrika Kusini wakati wa Apartheid, tukafanikiwa. Tumesusia bidhaa zinazotengenezwa Israel, na kuna mafanikio kuwa kususia bidhaa hizo kunasaidia katika harakati. Sasa likija hili swala la kususia Vodacom, hapa nchini kweti, mbona inakuwa shida?? Mimi nitasusia, na nitaendeleza kusambaza neno kwa watu wengi nitakavyoweza, kuwa kutumia bidhaa kutoka kwa watu wanaohujumu uchumi wetu ni sawa na kujiweka kitanzi mwenyewe. Wewe unayetaka kuendelea nayo, endelea tu, hukatazwi. Sisi tutaendelea tu, na uashindi utapatikana tu, maana harakati zetu ni za kihalali. Namnukuu Che Guevara akielezea mapinduzi. Aliwahi kuandika: 'Wherever death may suprise us, it will be wellcomed, provided that, this, our battlecry reaches some receptive ear...' Patria o muerte, venceremos!
counting.. joto linapanda, joto linashuka.. kijasho chembamba.. Kama hauko katika mapambano dhidi ya ufisadi endelea na Vodacom. Hili si gumu. Mada imeanza na "wanaharakati". Kama wewe siyo (hili ni mwenyewe unajifahamu).. carry on with your life, waalike ndugu zako na jamaa zako kutumia simu za vodacom. Kama ni Mwanaharakati na hauko tayari kusalimu amri.. do the needful...
MM
Mwanakijiji unafikiri matatizo yetu yataisha kwa kususia mtandao wa Vodacom ,hao jamaa wanaweza kununua share kwenye kampuni yeyote kwa hiyo tutakuwa hatujafanya lolote
And the warning is very clear it is directed to activists and not to everyone kwenye JF nashangaa watu hawamuelewe Mwanakinjiji.