Wanaharakati: Ziachieni simu za VodaCom!

Kwa wale msio kwenye system..viongozi kibao sikuizi wanaongea kwa mafumbo kwenye simu...zinasikilizwa! Watanzania hatujui privacy ni nini tcra wanatuambia tukaregister sim card..kuna thread nilianzisha watu wamechunia..ukweli ndo huo..ata ulaya its not a must to register a sim card!! Kuna mambo yanafanyika na haki zetu kuvunjwa sisi tunabaki kubishana juu ya nia za Mwanakijiji...

Nani huwa anarekodi hiyo makitu?Mengi nini??Hilo la mafumbo hata mie nimelisikia sasa na hawapokei kabisa simu ambazo hawazijui..Yote haya yanasababishwa na Mengi..

Anawafuata fuata sana watu wa Jedwali la RA
 
Kwa nini? Kama hoja ni kampuni kumilikiwa na mafisadi basi tusibague voda peke yake. Ziorodheshwe kampuni zote za aina hiyo pamoja na bidhaa zake. Au ni vita ya kibiashara?
.,.
Kama ni vita ya ufisadi kweli basi tusiishie kwa MAFISADI PAPA tu! Mpaka FISADI NYANGUMI naye tususie biashara zake, lasivyo tutakuwa tunawaonea wahindi tu!
 
Nani huwa anarekodi hiyo makitu?Mengi nini??Hilo la mafumbo hata mie nimelisikia sasa na hawapokei kabisa simu ambazo hawazijui..Yote haya yanasababishwa na Mengi..

Anawafuata fuata sana watu wa Jedwali la RA

Ebu tupe ufafanuzi Mengi amesababisha vipi warekodiwe? unajua kinachozungumzwa hapa kweli ?
 
Ebu tupe ufafanuzi Mengi amesababisha vipi warekodiwe? unajua kinachozungumzwa hapa kweli ?

Mengi si mtu wa Fitina na kuwalipua watu..unadhani anajuaje Masha kazungumza na Flani kwenye Simu???

kinachozungumzwa sijui ila najua kinachoandikwa,we nani unaanza kuuliza mambo tu..kaa kimya
 
....
Akuh! Na nguo ya kuvaa pia muulize yeye! Si ndio kakumatia akili zako!

Ikiwezekana pia,maana kama anaweza kuwekea tundiko lake hapa na kuwaambia watu wasusie mtandao flani pia ana paswa kutuambia tuhamie mtandao upi ambao yeye anaona utatufaha.
 
Wewe Mzee Mwanakijiji acha ubinafsi, hivi ulishawahi kufikiri ni watu wangapi watakufa njaa kama tutaamua kuifilisi hiyo kampuni au unajifikiriaga wewe tu? Kumbuka Vodacom imeajiri ndugu zetu watanzania hata kama mmiliki wake ni fisadi, mwizi, jambazi au MGONI. Kuna vitu vingine muwe mnafikiria kwanza si kuropoka...mimi binafsi nakuamini sana MM ila kwa hili umeteleza Mkuru kaaze upya.
 
Wait a minute.... unadai yeye katumia haki yake kutoa maoni na haina kila mtu atakubaliana nae au atapingana nae. Upo sahihi kabisa! and thats exactly wot im doing here... kwani hiyo haki ya "kutoa maoni" ni ya Mwanakijiji tu wengine hatuna?

Kwa taarifa yako na wewe pia umetumia haki yako kutoa maoni na kuna watakaokuunga mkoo na watakao kupinga ndio maana ikaitwa public forum.

Baada ya kusema hayo wewe endelea kutoa maoni kwa uhuru nami niache niji nafasi

Masatu, and the like of you....

I believe in taking / choosing sides. But when it comes to disagreing to the aired matter, why become furious, as in this case? You seem to 'envy' Mwanakijiji's achievements - not only to JF, but also to his form and local media. Soma magazeti ya Tanzania daima au Mwanahalisi.

Beside, it'll do goodness to you if you'd be able to appreciate Mwanakijiji's calibre and integrity.

Habari ndo hiyo. Aliyekuacha mbali kakuacha, inaweza kukuchkua miaka mingi ufike hapo alipo.
 
MODs, kuna uhalali wowote wa mada hii kuendelea kuwepo?

Ni vema tukawa na standards zinazoapply kwa all JF members. Kama habari/mada ipo 'empty' na inamwelekeo wa kuathiri biashara/masahi ya watu (RA si pekee mmiliki wa Vodacom, Vodacom SA wana 65% shareholding!) ni vema ikawa na supporting evidence/facts za kutosha kabla haijaqualify kuwekwa hapa JF (or at least kwenye jukwaa hili!)

Kwa sababu ni habari inayoweza kuathiri maslahi ya kibiashara ya vodacom ama ya 'usalama' wa wanaharakati, kama ina ukweli wowote basi ni vema ukweli huo mtoa mada akau substantiate, vinginevyo nawaomba MODs waifute (With due respect kwa Mzee Mwanakijiji).We better stick to our motto: JF, Where We Dare to Talk Openly!

Kwa sababu ya mapungufu yake, hii mada naona inaleta malumbano yasiyo na msingi. Kama, mtoa mada mpaka sasa hajajibu (au kufafanua) maswali ya wanajamvi, binafsi sioni uhalali wa mada hii kuendelea kuwepo hapa.
 
Hta kwa mjadala huu JF kuna mafisadi pia. Je mod utaweza ku-screen wanaharakati haswa na kutoa mamluki wanaosoma hizi threads zetu kwa maana ya kuripoti kwa mzee (RA, Che, Richmond n.k.) jioni na kulipwa mshahara. Watolewe kwani wanakwamisha harakati atiii!
 
It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.

Nilikuwepo.

M.M.
Mwana kijiji kumbe unachemsha mara nyingine hiyo si hoja.simu zozote duniani zinaweza kuwa monitored kama serikali inataka.hata hizi unternate zinakuwa monitored i think huko israel.lakini hawawezi kufanya hivyo labda uwe tishio kwa usalama wa nchi husika lakini longalonga hii ya kupinga ufisadi ndio uwe na wasiwasi mimi nadhani hizo mbinu za kuharibu biashara za watu.sijui mzee uko kwenye payroll ya mzee mengi.
 
Mwanakijiji unafikiri matatizo yetu yataisha kwa kususia mtandao wa Vodacom ,hao jamaa wanaweza kununua share kwenye kampuni yeyote kwa hiyo tutakuwa hatujafanya lolote
 
Masatu, and the like of you....

I believe in taking / choosing sides. But when it comes to disagreing to the aired matter, why become furious, as in this case? You seem to 'envy' Mwanakijiji's achievements - not only to JF, but also to his form and local media. Soma magazeti ya Tanzania daima au Mwanahalisi.

Beside, it'll do goodness to you if you'd be able to appreciate Mwanakijiji's calibre and integrity.

Habari ndo hiyo. Aliyekuacha mbali kakuacha, inaweza kukuchkua miaka mingi ufike hapo alipo.

Am I furious? dats not me mate, and for your good inf there no voc "evy" on me, afterall where the hell are so called "achievements" writting utumbo on tabloids to u amounted to "achievements".

Well point noted you have your side which ok, but abit of free advice respect others "side" as well.

Habari ya kuniacha mbali ni mbingu na ardhi! mie sio mwandishi fani yangu ni kuchoma mkaa, tukienda by the argument na mimi nimemuacha "mbali" kwenye fani yangu na "itamchukua miaka mingi kufika hapa nilipo"
 
Probably the worst suggestion that has ever been aired in JF. Mtasusia vingapi maana hata barabara tunazopita zinajengwa na makampuni yao, nyie mnafikiri wanakwepeka hawa jamaa? Au ndio tunaanza kujikatia tamaa?
 
Kitila,si lazima visusiwe vingi,ni vigezo gani unatumia mkuu?
Sasa utamlaumu vipi Rais mfano anapokwenda kuomba omba na wakati ni kweli wananchi wengi ni masikini?
No pain no gain man,huwezi kufanikisha mambo kama hayo kiulaini,it must pain before we gain,thats the reality,no maumivu no nothing,kwa maana kwamba hata kama matatizo yatawakumba wananchi wa kawaida,hao wenye kunufaika pia nao watakumbwa,ila mwenye kugain eventually after all the pain ni mwananchi wa kawaida.
 
Acha uongo wewe na dhihaka zako. Hilo bandiko lako tumeshaliona siku nyingi sana likiwa linasambazwa kwenye mtandao kwa nia mbaya ya ushindani wa kibiashara. Ingia kwenye website ya Vodacom http://www.vodacom.co.tz/docs/docredir.asp?docid=3389 ujue gharama halisi wanazolipisha usitufanye wajinga sisi wote hapa JF.

Dhihaka???? Mbona unakuwa mkali weye?? yawezekana una hisa huko voda kama si hisa basi ni wmajiriwa wa huko huko voda, hebu ni kuulize kitu kidogo tu kama upo nyumbani basi utakuwa na jibu sahihi... Hebu niambie ni kampuni gani yenye kutoza viwango vya juu kwa wateja wake?? Na ni kampuni gani ya simu yenye kutoza viwango vya chini kabisa kwa wateja wake?? ukishindwa kupata jibu basi jumlisha toa then gawanya kwa 2 jibu utakalo pata kutoka kwenye hesabu yako ya kwanza ukicheka nenda katafute rour figure table then uje uwanjani nakusubiria..... Am out....
 
This just makes the whole 'war against ufusadi' thing sound rather moronic.. This could never be effective therefore there is no point in even wasting time debating it..
 
Back
Top Bottom