Wanaharakati: Ziachieni simu za VodaCom!

It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.

Nilikuwepo.

M.M.
Vema sana M. M.
NILIYAELEZEA HAYA WAKATI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI LAKINI SIKUELEWEKA! LAKINI BADO NITAENDELEA kusema nao kwa mithali...:smile-big:
 
It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.

Nilikuwepo.

M.M.
Heshima mbele MMKJJ, kwanza nakushukuru kwa angalizo, ila hukutoa sababu ya angalizo hili. Mimi naamini issue sio gharama wala umiliki wa mafisadi.
ila sio tuu umetoa ushauri, bali pia umetoa tahadhari "Do it or be ready to live with the consequences". hii ikimaanisha yakishapita hayo masaa 72, yatatufika yakutufika.

Ushauri wangu ni kuwa naomba utusaidie kwanza sababu ambazo naamini ni za msingi, na pili sisi watu wa mazoea ambao hatuna mpango wowote wa kuhama voda, sio vibaya ukitujulisha yatakayo tukuta ili tuwe more prepared for the so called "be ready to live with the consequences".
Naomba na mimi niwape facts zangu,
1. Kama ni simu kusikilizwa kinyume cha sheria, mitandao yote iko monitored na wenye nchi, na sio hao tuu, bali mpaka mabwana wakubwa wa wenye nchi. Rule out sababu za kiusalama.
2. Naitumia sana voda hswa kwa mtandao, nakiri jamaa wako ghali sana, Zain wana 3.5 G wako faster, cheaper kuliko Voda, ila tatizo kwangu ni mazoea.
3.Nimesikia Zentel ndio the cheapest, hivyo kama kweli issue ni kuibiwa, watu washauriwe kujiunga Zentel.
Angalizo, wana JF lazima tuwe makini zaidi kwenye haya, tusijejikuta tunatumiwa bila sisi wenyewe kujijua katika vita vya biashara vya mafisadi, iwe ni mafisadi papa, nyangumi, ama hata visamaki vidogo mpaka vifisadi dagaa.
Nafanya tuu rejea, kuna watu humu wanaonaga mbali! .
Paskali
 
Muisusie Voda ama mbadilike kitabia na kutumia simu zenu responsibly?..
Leo Voda wasipokuexpose kesho TISS na TCRA watakudaka sasa sijui utasusa mpaka lini....TUBADILIKE.,
 
Muisusie Voda ama mbadilike kitabia na kutumia simu zenu responsibly?..
Leo Voda wasipokuexpose kesho TISS na TCRA watakudaka sasa sijui utasusa mpaka lini....TUBADILIKE.,
 
Makampuni ya simu Tanzania na ufisadi wake:

(a). VodaCom- Kuna RA (share holder 35 %), Somaiya (Shivacom -super dealer ), Lowasa - Alphatel (dealer)

(b). Zain (wameifisadi TTCL hadi ikabinafsishwa kwa bei chee na wameingia TZ kwa wizi na utapeli mkubwa)

(c). Tigo (wamekuwa wakibadili majina kila baada ya miaka 5 kukwepa kodi: 2001 from Mobitel to Buzz, 2006 from Buzz to Tigo) na ukifuatilia tangu kuanzishwa kwake mwaka 1993 ikishirikiana na shirika la posta na simu wakati huo mpaka sasa ime-undergo several dubious contracts na serikali. Mpaka sasa kampuni inamilikiwa na Millicom ya Luxemburg kwa asilimia 100 % kinyume na sheria za nchi

(d). TTCL - hii nayo imebinafsishwa kwa Wa-Kanada kifisadi kupita kawaida na bila shaka mafisadi wana share huko. Kwahiyo tunatupa simu zote na kufunga landline zetu zote tuwasiliane kwa internet na barua.
Tusifanye tuwape ahueni cha msingi hakuna kuweka vocha wala kutumia mpesa ebu wazungumzie na halo kidogo nao tujue maana huku mtaani ni mafuriko watu kila kukicha ni haloteli.
 
It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.

Nilikuwepo.

M.M.
Hivi monday bado???
 
It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.

Nilikuwepo.

M.M.

Watu wengine wanaamka leo; ambako wengine ndio tulishalala.
 
It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.

Nilikuwepo.

M.M.
Tutatumia voda kama kawaida acha mambo yako, hatufanani katika maamuzi kila mtandao umengwa na watu wa usalama, jitoe Mwenyewe tena kimya kimya sio mpaka utuambie
 
Ku boycott bidhaa fulani ina takiwa utoe sababu za msingi. Kwenye thread yako mzee hauja sema kwa nini tufanye hivyo bali umesema tu ina bidi tufanya hivyo. Kama pundamilia alivyo sema kuwepo kwa Vodacom kuna faida kwa baadhi ya wattu haswa walio ajiriwa na hiyo kampuni. Leo ukiboycott Vodacoma na ikifaa wangapi wata poteza ajira na wata ajiriwa wapi?

Pia tuna takiwa kuangalia pia ubora wa bidhaa. Kama mimi nipo nje ya Tanzania and the only way I can communicate with some loed ones in Tanzania is through Vodacom. Sasa hao wapendwa wangu wakiacha kutumia kampuni hiyo ina maana mimi mawasiliano na wao ni basi mpaka ipatikane alternative. Sasa kwa sisi ambao ni lazima uwepo wa Vodacom ili tuwasiliane na baadhi ya watu ambao ni dear kwetu una tupa alternative gani?

Japo hauja toa sababu ya kwa nini una taka watu waache kutumia Vodacom it seems una matatizo na wamiliki lakini siyo product ya Vodacom. Je ni sawa kuacha kutumia bidhaa bora kwa ajili ya wamiliki wake? Na je hizo kampuni zingine za simu tuna uhakika gani umiliki wake ni takatifu? Unaweza uka kuta kampuni kibao ambazo ni za muhimu kwa Tanzania zina some element ya ufisadi because there is no way of tracking down every owner and the legitimacy of their income. Hata mtu aliye safi leo waweza kuta at some point ali cheza foul kupata hela. Pia kuna makampuni unaweza kuta tuna dhani ina umiliki safi kumbe hatujui nature za hayo makampuni.

Cha msingi ndugu MwanaKijiji fafanua kwa nini una taka watu wasusie Vodacom? Nini kime kufanya ufikirie hivi? Nina uhakika ume tafakari kabla ya kuja na post hii kwa hiyo natumai haita kua kazi kwako kutueleza imekuaje kuaje umeamua kuwa Vodacom ina paswa kususiwa. Kama kuna legitimate reason na watu wana alternative zingine(japo kuna makampuni mengi ya simu zinatoa huduma tofauti na kwa ubora tofauti) basi nina uhakika watu wata tafakari ulicho sema na kuki fanyia kazi. Othersiwe what you have done now ni sana sana na mimi niseme wapenda nchi wote msusieni Mwanakijiji bila kutoa sababu za msingi na za maana. Haya maoni yangu tu, wewe kwa utashi wako mwenyewe utaamua nini cha kufanya.
Endelea kutumia wewe sisi inatosha kwa hawa machizi.
 
Nina miaka 9 sijatumia VODACOM na kamwe sitokaa niitumie
Masatu na Mwanafalsafa 1... Someni hapa



VODA CUSTOMERS
This is a fact, you may verify yourself. Written by Voda customer who is tied of voda

Calling Voda to Voda is Tshs 360 per minute. Calling from Voda to other networks in the country is Tshs 560 per minute. Voda SMS to all networks is Tshs 60 per sms.

Ok,
Calling Tigo to Tigo Tshs 300 per minute. Calling from Tigo to other networks in the country is Tshs 360 per minute. Tigo sms to all networks is Tshs 45 per sms.

Calling Zantel to Zantel is Tshs 250 per minute. Calling from Zantel to other networks in the country is Tshs 275 per minute.

Just by looking above assuming calling/usage time is constant, Tigo customers would spend more than 40% or 50% (depending on other packages listed below) less compared to Voda customer whereas Zantel customer would spend less than 55% compared to voda customer.
Assume Voda customer use 100,000 per month, then Tigo would use less than Tshs 60,000 whereas Zantel customer would use just some shs above 40,000.

For a voda customer spending Tshs 50,000 per month, Tigo customer would spend a range of Tshs 20,000 to 30,000 per month, whereas Zantel customer could spend even less.


Other packages!
  • Tigo has extreme call package whereby you subscribe Tshs 1500 and you call all Tigo number from 6.00am to 6.00 pm. Comparatively Voda has the same service called Chizika but you NEVER be able to subscribe whenever you want-if you think I am joking try *147# and dial (which is a way to subscribe to free unlimited call for 12hrs from 6.00am) to see if you will get through. Definitely you will be told to try again tomorrow! You will be very lucky if you get through. Friends have been saying for every 1000 people one gets through! Anyway Vodacom does not want you to know this service because they have not even advertised it. Have you heard or seen chizika advert anywhere if it is not only one found along Ali Hassan Mwinyi road in Dar es Salaam?
For your information with Zantel you can call zantel customers for 24hrs with only Tshs1500. only that zantel customers are not as many.

  • Tigo has sms extreme package whereby you subscribe Tshs 500 and send sms to ALL networks for 12hrs from 6.00am. Voda despite of charging Tshs 15 more on every sms, it does not give any releaf package in this area. Zain (not Zantel) has the same package by subscribing Tshs 400. It is not my intention to bring in Zain now since its calling cost is almost like vodas

  • With Tigo you can call for one shilling from 6.00pm to 5.59am to tigo to tigo. So from extreme call you enjoy during the day, in the evening you have another relief. Huree! Voda has almost the same relief but this one starts at 10.00pm to 5.59am. Despite of that dead night time you have to try yourself to see if you can get through a call. It is not easy even you have an emergency!

  • With Tigo you can call tigo subscribers for one shilling from Friday 6.00 to Monday 5.59am! By that Time, voda customers are calling voda subscribers for normal rate Tshs 360 and non voda subscribers for Tshs 560! ALAS VODA!

  • Even with Zain (Celtel), one is far better off compared to voda!

Some rumors created which make people not to shift.

1. Voda has very extensive network and is reliable! Fact check: If you are based in Dar or another city and you call most networks with certainty from Tigo, Zantel or Zain then the above rumor is cheating people! If voda was reliable it could be reliable when you subscribe to chizika and when you make even emergency call from 10.00pm.
2. Remember, you dont travel so much in the interior parts of the country. If you are sure of been where you are for 11months of the year without going to interior parts of the country, then you dont need voda. You can reach interior people with whatever network they may be through Zantel, Tigo or even Zain with much cheaper rates.


Advise:
1. We dont have to be fool. We are incurring much much much higher cost by being voda subscriber compared to Tigo, Zantel and somewhat Zain friends! I dont think if there will be any person on earth except fool who will be happy and comfortable to pay higher rate for less! This is what voda customers we are getting!
2. Corporate customers who pay for their employees airtime could save up to 40% or 50% if encourage their employees to shift to cheaper networks. Company may leave airtime rates (they give to employees) at where they are and they are will minimize to a great deal number of complaints on air time increases by employees. If you are giving your employee an airtime of Tshs 50,000 in Voda and he/she complains, with Tigo, Zantel or even Zain (somewhat) complaints will be very very minimal!


KAMA HAMKUPATA JIBU LA KWA NINI MZEE MWANAKIJIJI ANAWATAKA WATU WAIKIMBIE VODA BASI WALIMU WENU WALIKUWA NA KAZI SANA... HAHAHAHA NI HAYO TU WAKUU WANGU
 
It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.

Nilikuwepo.

M.M.
No no no. Never never never siondoki voda hata iweje sitaki siasa za maji taka
 
Watu wanafukua makaburi ya miaka 10, wanachukua sample za marehemu ndio wamepata ukakika ndie mwenyewe (miaka 10 hawakuwa na uhakika kuwa ndie mwenyewe maana maiti yake iliteketea kwa moto na pia technology ya kutambua ilikuwa bado). Duh!
 
Watu wanafukua makaburi ya miaka 10, wanachukua sample za marehemu ndio wamepata ukakika ndie mwenyewe (miaka 10 hawakuwa na uhakika kuwa ndie mwenyewe maana maiti yake iliteketea kwa moto na pia technology ya kutambua ilikuwa bado). Duh!
Sijakupata mkuu
 
Back
Top Bottom