yai siku zote huwa yai tu...................
Tukiwasaliti wanaharakati hawa damu yao iwe juu yetu!!
iwe juu yako mwenyewe. wayahudi walisema msemo huo wakati wanamsulubisha yesu wakisema damu yake iwe juu yao na uzao wao. Unaona jinsi gani wayahudi wanavyoteseka na ugomvi usioisha na wapalestina hadi leo.