Wanaharakati wa tanzania ni hatari kwa usalama wa nchi

Msiwakandamize madaktari eti kisa wapo kwenye sekta muhimu na kuwaacha watu walosimama mbele ya kadamnasi tena kwa kiburi kabisa na kusema liwalo na liwe kwa vile tu wao hawatoathirika na huo mgomo!! Wagonjwa hawajaanza kufa kwenye mgomo tu, wengi wamefia njiani kwa kukosa facilities zikiwemo ambulance na barabara kuwa mbovu ilihali hao hao wanahusika na huduma za wananchi wao wanaongezewa posho! Wengi wamekufa kwa kukosa madawa hospitalini na vifaa vya kitabibu huku bajeti za kwenda kutibu viongozi nje zikiongezeka.......mbona hayo hamuyaoni?? Ndo kusema ni halali mwananchi kufa kwa kiburi cha serikali? Acheni masikhara.......

Jaribu kufananisha kabla hajaja Kikwete ilikuwaje na toka ujio wa Kikwete tukoja. Halafu ndio uanze kulaumu, bila hilo hutotenda haki.
 
Kama kuna watu ni hatar kwa usalama wa nchi ni wanaharakati dunia nzima aman imeshndwa tawala coz ya hawa wapuuzi wenye maslahi binafsi,naombea atokee kichaa awaue watu hawa nawachukia sana

Bila shaka usalama unaouzungumzia kwa hapa TZ ni uoga wa wananchi na kukaa kimya ili maovu ya serikali yaendelee!!
 
Wanaharakati wanatumia mabilioni kwenye warsha na makongamano kwanini wasitumie fedha hizo wanazopata kwa wafadhili kuchangia kuboresha huduma za afya kama kweli ni wazalendo wa kweli. Mimi nipo bongo na ni mhanga wa mgomo wa madaktari

Wakati huo wanaokusanya kodi na wenye jukumu a kutekeleza hayo wanafanya nini?
 
Kutokana na mchango wao katika kushawishi na kushabikia mgomo wa madaktari na kuushawishi umma kuamini kuwa vurugu na migomo ndio njia pekee ya kudai maslahi nadiriki kusema kundi hili la jamii ni hatari kama vikundi vya kigaidi. Nielewavyo mimi vikundi hivi vinapaswa kuishia kutoa elimu na kuishauri au kuishawishi serikali au kikundi/taasisi nyinginezo kutimiza wajibu wake na si kuegemea upande mmoja. Kwa hili la mgomo wa madaktari nilitegemea wanaharakati kuwa wa kwanza hata kabla ya mgomo kuishawishi serikali kuboresha huduma za afya na si kudandia mgomo. Ninavyofahamu hali mbaya ya huduma za afya si jambo jipya hivyo walipaswa kuingilia kati kabla ya mgomo. Iwapo wao ni watetezi wa haki za watanzania wasingeshabikia mgomo wa madaktari kwani ni mgomo umechangia watanzania mamilioni kukosa haki zao za msingi kwa wanaharakati kushabikia mgomo na kusahau mateso ya wananchi walio wengi. Wanaharakati wanapaswa kupima kati ya haki ya msingi ya kuishi ya watanzania na maslahi ya kuishi kifahari ya madaktari.

Pamoja sana mkuu. Hao wanaojiita wanaharakati hawana ajenda, wamekuwa bendera zinazofuata upepo.
 
Kwani madai ya madaktari ni mshahara tuu? Ni pamoja na mazingira,vifaa bora kwani vilivyopo ni DHAIFU
 
Kutokana na mchango wao katika kushawishi na kushabikia mgomo wa madaktari na kuushawishi umma kuamini kuwa vurugu na migomo ndio njia pekee ya kudai maslahi nadiriki kusema kundi hili la jamii ni hatari kama vikundi vya kigaidi. Nielewavyo mimi vikundi hivi vinapaswa kuishia kutoa elimu na kuishauri au kuishawishi serikali au kikundi/taasisi nyinginezo kutimiza wajibu wake na si kuegemea upande mmoja. Kwa hili la mgomo wa madaktari nilitegemea wanaharakati kuwa wa kwanza hata kabla ya mgomo kuishawishi serikali kuboresha huduma za afya na si kudandia mgomo. Ninavyofahamu hali mbaya ya huduma za afya si jambo jipya hivyo walipaswa kuingilia kati kabla ya mgomo. Iwapo wao ni watetezi wa haki za watanzania wasingeshabikia mgomo wa madaktari kwani ni mgomo umechangia watanzania mamilioni kukosa haki zao za msingi kwa wanaharakati kushabikia mgomo na kusahau mateso ya wananchi walio wengi. Wanaharakati wanapaswa kupima kati ya haki ya msingi ya kuishi ya watanzania na maslahi ya kuishi kifahari ya madaktari.

Pole mr Zero, huna ujualo.
 
Poor and innocent guy yet ignorant ina maana kwa mtazamo wako na hiyo definition hata walimu wakija kugoma ni magaidi nani gaidi kati ya serikali na wanaodai haki yao

Msamehe hajui asemalo. Hao ni ma- Mr Yes wa serikali tawala kama si chama tawala.
 
1) mameneja wa tanapa wapo wangapi tanzania hii na madaktari wapo wangapi?

2) hujui kuwa baadhi ya hizo fedha wanazolipwa madaktari zinatokea hukohuko tanapa? Kwenye wazalishaji wachache?

3) madaktari wa tanzania wanaoona kuwa hapa hawalipwi vya kutosha wamepewa ruksa kwenda kufanya kazi nje ya tanzania na kujipatia kipato cha ziada. Jee, hilo hulijui?

4) daktari wa tanzania atuoneshe mapato yake kamili ya mwaka mzima, kuanzia allowance za vikao, mikutano, pesa wanazopokea kwenye ma ngo wakiwaandikia paper zao, biashara binafsi, malipo ya private hospitals, halafu tulinganishie na za huyo meneja wa tanapa. Kumbuka kipato cha madaktari hakipo kwenye mshahara tu.

sikushangai ndugu yangu maana kwa ujumla iq zetu watanzania zipo chini sana. Sasa wewe umeshindwaje kuoanisha hoja ya kipato cha madaktari madaktari kutotegemea mshahara peke yake na ikakuwia vigumu sana kusema pia na hao mameneja wa tanapa kama ilivyo kwa watumishi wengi pia kuwa nao vipato vyao havitegemei mshahara peke yake? When sb decides to play dumb there's really no way u can change that. Poor dumb guy
 
sikushangai ndugu yangu maana kwa ujumla iq zetu watanzania zipo chini sana. Sasa wewe umeshindwaje kuoanisha hoja ya kipato cha madaktari madaktari kutotegemea mshahara peke yake na ikakuwia vigumu sana kusema pia na hao mameneja wa tanapa kama ilivyo kwa watumishi wengi pia kuwa nao vipato vyao havitegemei mshahara peke yake? When sb decides to play dumb there's really no way u can change that. Poor dumb guy

Naona hujui mazingira ya kazi za TANAPA. Huko mbuga za wanyama, unategemea wafanye nini huko? hata kulima bustani hawaruhusiwi, ni hifadhi za Taifa ambazo hata kung'oa jani huruhusiwi. Funguwa akili japo kidogo.
 
Wanaharakati wanatumia mabilioni kwenye warsha na makongamano kwanini wasitumie fedha hizo wanazopata kwa wafadhili kuchangia kuboresha huduma za afya kama kweli ni wazalendo wa kweli. Mimi nipo bongo na ni mhanga wa mgomo wa madaktari

Hata mimi mwanangu moja ameathirika na mgomo huu ambaye alipaswa ahudumiwe moja ya hospitali ya rufaa. But hiyo haifanyi nisiseme ukweli. Kwanza Madaktari hawajawahi kuingia mkataba wowote na wanachi. Mkataba wa kuangalia afya za watu ni serikali ndio inayofunga mkataba huo kila baada ya miaka mitano. Baada ya kufunga mkataba huo serikali hupata ridhaa ya kutoza kodi kupita sukari, leseni, nguo, mafuta, usafiri, mazao nk. nk. Pia hupata ridhaa ya kuuza baadhi ya maliasili za taifa ikiwa ni pamoja na nyara, madini, ardhi !! nk. nk. Pia hupata ridhaa ya kuchukua mikopo kutoka nchi zingine pamoja na misaada. Baada ya hapo serikali huwajiri na kuwalipa madaktari kadiri ya makubaliano yao ili madaktari hao watoe huduma ya tiba kwa niaba ya serikali. Na ubora wa huduma hiyo kwa watu hutegemea kadiri serikali inavyonunua vitendea kazi pamoja na malipo kwa madaktari hao.
Mashirika hayo unayoyasema ni lini yaliingia mkataba wa kuwatibu watanzania? Mashirika hayo yamekuwa yakipiga kelele mara kwa mara kuwa serikali iboreshe huduma, na kwa kweli majukumu yao yanaishia hapo na si zaidi ya hapo.
Makongamano hayo ni moja ya shuhuli zao kuelemisha jamii na kutoa mawazo mbadala. Ukumbuke madaktari hao wanajua utajiri wa nchi hii. Wanafahamu fika kama rasilimali zetu zingetumika kwa faida ya wote huduma hii ingekuwa nzuri. Suala la Ulimboka kwenda kutibiwa nje linathibitisha kuwa hospitali zetu zinakosa vifaa vingi. Na hivi navyo mnataka Madaktari wanunue kupitia mishahara yao???
 
Wanaharakati wanatumia mabilioni kwenye warsha na makongamano kwanini wasitumie fedha hizo wanazopata kwa wafadhili kuchangia kuboresha huduma za afya kama kweli ni wazalendo wa kweli. Mimi nipo bongo na ni mhanga wa mgomo wa madaktari

halafu fedha za kodi ya watanzania zitumike kufanyia nini? Kugharamia safari za nje? Dhahabu inayochimbwa ina manufaa gani kama hatuwezi kupata fedha za kustawisha huduma za afya na mengineyo?
 
Hao si wanaharakati ni wanasiasa kama mnakumbuka siku za nyuma ata Mh Tundu Lissu alijifichaga kwenye kivuli cha uanaharakati kumbe ni mwanasiasa,hawa wanaharakati wa Tanzania ni wanaharakati kivuli wamejificha kwenye kundi hilo wakati ni wanasiasa uchwara wasiolitakia mema taifa letu,jamani tangu lini ukaona wanaharakati wanashabikia mgomo bila kujali maisha ya watanzania wengi wanaoumwa wanashabikia mgomo wa madaktari bila kujali maisha ya watanzania wengi!
 
Hao si wanaharakati ni wanasiasa kama mnakumbuka siku za nyuma ata Mh Tundu Lissu alijifichaga kwenye kivuli cha uanaharakati kumbe ni mwanasiasa,hawa wanaharakati wa Tanzania ni wanaharakati kivuli wamejificha kwenye kundi hilo wakati ni wanasiasa uchwara wasiolitakia mema taifa letu,jamani tangu lini ukaona wanaharakati wanashabikia mgomo bila kujali maisha ya watanzania wengi wanaoumwa wanashabikia mgomo wa madaktari bila kujali maisha ya watanzania wengi!
you are right on the money..halafu kulikua na mwingine anaongea kama amechanganyikiwa sjui yuko wapi? nadhani alikua mwalimu wa Mzumbe..kitu kama hicho.
 
halafu fedha za kodi ya watanzania zitumike kufanyia nini? Kugharamia safari za nje? Dhahabu inayochimbwa ina manufaa gani kama hatuwezi kupata fedha za kustawisha huduma za afya na mengineyo?

Sina shaka na hoja yako nilichouliza ni kwa nini wasitumie hayo mabilioni kuisaidia serikali kama wanavyofanya taasisi nyingine. Wao wanaishia kwenye kuzitafuna kwa warsha na makongamano tu
 
Mi wanaharakati hao siwaelewi,hebu nisaidieni jamani,
.Wanaharakati wanalaani kuumizwa kwa madokta au
.wanalaani mshahara wa ma dokta kutopanda kufikia m3 au
.Kukosekana kwa huduma mbovu mahosipitalini au
.wanalaani ma dokta kugoma kuwahudumia wagonjwa.
au kuna kitu wanataka zaidi ya hili wanalobwabwaja nalo maana siwaelewi.
 
Kama kuna watu ni hatar kwa usalama wa nchi ni wanaharakati dunia nzima aman imeshndwa tawala coz ya hawa wapuuzi wenye maslahi binafsi,naombea atokee kichaa awaue watu hawa nawachukia sana

Mkuu Hansen Nasli@ wanaharakati ni opportunist na ndo maana wanaitwa watch dogs the only way ya kuwakwepa ni kukaa mkao wa kazi all the times......ukilala tu expect kelele ya mbwa against intruder......so ni suala la kujua nini wanafanya na wewe kuwa macho baaaas......masuaala ya kuuana hapa ya nini????????? I believe you are not this shallow minded..... kwa wanaoujua na kuthamini umuhimu wao kwa kweli watakuwa mbali sana



Baba kama hununui mahitaji kama inavyotakiwa........................housegirl na mkeo watasema kutwa kucha.........sidhani kama utahitajika kuwaua!!!!!!!!!!!!!!! Anza kufikiri sasa sio muda wa mawazo tenaa
 
Back
Top Bottom