Wanaharakati wa Tanzania mko Wapi

KakaJambazi

JF-Expert Member
Jun 5, 2009
18,711
12,067
Nimejaribu kufuatilia mambo mbalimbali ya kimataifa yanayotendeka hapa Tanzania.

Mfano tu ni huu mkutano wa WEF uliofanyika wiki iliyopita.
Ivi mbona hamuonyeshi kama mpo hai??
Mi nilitegemea mngekesha nje ya ukumbi wa mkutano na mabango yenu kama tunavyoona huko Ulaya na Amerika. Hata Kenya wanatushinda? au wako bright kuliko sisi nyie??
 
Nimejaribu kufuatilia mambo mbalimbali ya kimataifa yanayotendeka hapa Tanzania.

Mfano tu ni huu mkutano wa WEF uliofanyika wiki iliyopita.
Ivi mbona hamuonyeshi kama mpo hai??
Mi nilitegemea mngekesha nje ya ukumbi wa mkutano na mabango yenu kama tunavyoona huko Ulaya na Amerika. Hata Kenya wanatushinda? au wako bright kuliko sisi nyie??

Wapo hai sana, waliomba kibali jeshi la polisi kufanya maandamano ( si unajua sheria za kitanzania) basi Kova akainuka na kusema si ruhusa atakayesogea atakiona cha moto jamaa wakaamua kufanya maandamano toka ofisini mpaka nje ya jengo moja silikumbuki na kufanya mkutano uliohutubiwa na Prof. Issa Shivji.

Tatizo ni sheria zetu na uelewa wa polisi, hivi Kova ukimuambia unapinga mkutano wa WEF wakati zimemwaga posho za Usalama na Ulinzi unadhani atakuelewa au kukupa kibali cha maandamano, thubutu.
 
Back
Top Bottom