KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Nimejaribu kufuatilia mambo mbalimbali ya kimataifa yanayotendeka hapa Tanzania.
Mfano tu ni huu mkutano wa WEF uliofanyika wiki iliyopita.
Ivi mbona hamuonyeshi kama mpo hai??
Mi nilitegemea mngekesha nje ya ukumbi wa mkutano na mabango yenu kama tunavyoona huko Ulaya na Amerika. Hata Kenya wanatushinda? au wako bright kuliko sisi nyie??
Mfano tu ni huu mkutano wa WEF uliofanyika wiki iliyopita.
Ivi mbona hamuonyeshi kama mpo hai??
Mi nilitegemea mngekesha nje ya ukumbi wa mkutano na mabango yenu kama tunavyoona huko Ulaya na Amerika. Hata Kenya wanatushinda? au wako bright kuliko sisi nyie??