EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Hayo maneno yako na picha uliyotumia ndiyo yanaleta wasiwasi, kukutana na waandishi si tatizo ila umeongezea chumvi 'wananchi wengi wanalalamika' halafu hiyo picha ni ya kesho wakati watakapokutana naye? what is the use of it.
Na Francis Godwin-Iringa
Wakati kesho mei 3 ni siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani ,wanahabari mkoa wa Iringa wamepanga kufanya maandamano makubwa kwa ajili ya kuadhimisha siku hiyo pamoja na kumweka kiti moto mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa baada ya wananchi wengi kumlalamikia mbunge huyo .