Wanahabari susieni msiandike habari za waziri Nape

magode

JF-Expert Member
Oct 2, 2014
2,200
3,321
Wanabodi,
Salaam,

Wazo la kutorushwa matangazo moja kwa moja,ni wazo la Nnape moses Nnauye kabla hata hajawa mbunge.

Kuna ushahidi usio na shaka tangu mwaka 2013 alikuwa akipost huo utumbo kwenye mitandao ya kijamii.

Nakumbuka aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya ndani wa serikali ya awamu ya tatu mh.Omary Ramadhan Mapuli. Waandishi wa habari walisusa kuandika habari zake mpaka leo. Huyo mzee mpaka leo sijui hata alipo. Nawashauri wanahabari wasusie kuandika habari za Nnape Nnauye kwa kuwa yeye ndo chanzo cha sisi kunyimwa haki.

Jukwaa la wahariri mmebaki kulalamika tu,lkn wakiwaita mnafika kabla hata ya muda. Acheni kuandika habari zake na wizara yake hadi hapo matangazo ya moja kwa moja yatakaporejeshwa.

Nawasilisha...
 
Uamuzi wa kutorusha bunge live ni wa cabinet iliyoongozwa na Rais JPM hivyo ni bora ungesema wanahabari wasusie kuandika habari yoyote ya Serikali jambo ambalo haliwezekani maana huko ni kuweka kalamu chini.
 
Dawa ya moto ni moto , hivi mapuri yuko hai au amekwenda kwenye njia ile nyembamba ? Long time kitambo , dah !
 
Wanabodi,
Salaam,

Wazo la kutorushwa matangazo moja kwa moja,ni wazo la Nnape moses Nnauye kabla hata hajawa mbunge.

Kuna ushahidi usio na shaka tangu mwaka 2013 alikuwa akipost huo utumbo kwenye mitandao ya kijamii.

Nakumbuka aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya ndani wa serikali ya awamu ya tatu mh.Omary Ramadhan Mapuli. Waandishi wa habari walisusa kuandika habari zake mpaka leo. Huyo mzee mpaka leo sijui hata alipo. Nawashauri wanahabari wasusie kuandika habari za Nnape Nnauye kwa kuwa yeye ndo chanzo cha sisi kunyimwa haki.

Jukwaa la wahariri mmebaki kulalamika tu,lkn wakiwaita mnafika kabla hata ya muda. Acheni kuandika habari zake na wizara yake hadi hapo matangazo ya moja kwa moja yatakaporejeshwa.

Nawasilisha...
Mbele ya njaa za wanahabari, forget about that~ Muulize Polepole anapendekeza katiba gani? Ya warioba au ya Chenge/Sita?
 
Mbele ya njaa za wanahabari, forget about that~ Muulize Polepole anapendekeza katiba gani? Ya warioba au ya Chenge/Sita?

Huyu aliyekunywa matapishi yake...............Ukiwa Kijana ukakosa kusimamia unachoamini ni shida kabisa
 
Hakuna anayeangalia wala kusoma hayo mavitu , nimekataza hata wanangu kuangalia tbc , ni marufuku ! Hayo magazeti hata hawayajui .
Lakini umekuwa wambele kusema TBC waoneshe bunge live wakati ata watoto wako umewakataza wasitazame sio bunge tu ata ubongo kids.. hivi wewe unakuaga unakunywa maji ya chooni nini , kazi kuropokwa hovyo tu bavicha style .
 
Mi binafsi habari zake huwa sisomi wala kusikiliza! maana kwangu katika viongozi waongo ambao huongea na kutoa maelekezo yenye kutafta maslahi yao ni huyo! Huyo jamaa ni mwongo sana! nashangaa sana watu wanaoelewa habari zake! mimi hajawahi kuongea nikamwelewa!
 
Watanzania tu waoga sana, mbona hatujajitokeza kwa umoja wetu kudai jambo hili kwa nguvu, sisi ndo wenye nchi, inatakiwa tunachotaka ndo ki fanyike, mie nahisi wengi tumeridhika vikao vya bunge vifanyikie gizani!
 
Watanzania tu waoga sana, mbona hatujajitokeza kwa umoja wetu kudai jambo hili kwa nguvu, sisi ndo wenye nchi, inatakiwa tunachotaka ndo ki fanyike, mie nahisi wengi tumeridhika vikao vya bunge vifanyikie gizani!




Unataka tukutanie wapi?mi niko tayari! lakini itakuwa nonviolence movement! Kazi ipo mkuu kufanya hilo jambo si kitu lahisi! viongozi ambao wangeongoza hilo nao pia sijui wanaogopa!! lakini ni wastaalabu sana hawataki mvutano!
 
TBC ipo kwa kuwa inatumia pesa za wadanganyika la sivyo ingebaki historia kwamba palikupo na TBC
 
Nape kama waziri wa habari ni vigumu sana kumsusia haswa kwa sababu za kipuuzi za bunge kutooneshwa live
Nape ana uwezo wa kuyaua magazeti kwa kuamuru yasipewe matangazo yoyote toka serikalini,mwezi tu chali
 
Back
Top Bottom