blauzi
Member
- Aug 28, 2008
- 24
- 5
Kugoma sio shida na ni rahisi. Lakini mwisho wa siku lazima tujiulize(kama kundi na kwa mtu binasfi),baada ya kugoma umepata nini na umepoteza nini. Tukipata majibu, tutajua uamuzi sahihi wa jinsi ya kushughulikia matatizo yetu.LAKINI pia tukiamua kugoma tugome kweli.Siku hizi UDSM hakuna mgomo(huwezi kugoma bila kujipanga na ku-define malengo ya mgomo).Migomo ilikuwa zamani na sio siku hizi.Mfano.Unapogoma na unawakataza/kuwazuia/kuwasumbua wanafunzi wa post-graduate hasa ambao wako mabibo hostel kwenye vyumba vyao unakuwa unamanisha nini?Je mabibo ndio kwenye boom, je mabibo ndo level square?Mi hii migomo ya siku hizi inaniboa sana japo na mi mhusika.