Wanafunzi zaidi ya 50 UDSM wafukuzwa moja kwa moja!

My take
Kwa hali ilovyo hali haiwezi kuwa shwari kwa migomo hii. Solution ya kwanza ni kwa wale wenye kesi. Hawa wamefukuzwa solely because wanakesi. Ni kweli sheria za chuo zinasema hivyo lakini ni dhahiri zinapingana na katiba ya nchi. Kwa sababu chuo tayari kimewahukumu hata kabla ya kuhukumiwa. Ina maana wakionekana hawana hatia watakuwa wameadhibiwa pasipo na kosa. Hivyo, Daruso itafute wanasheria, preferably LHRC where they provide legal Aid. Hapa they can pray for injunction from high court ambapo decision ya chuo itawekwa pembeni mpaka hapo kesi yao itakapoisha. Naamini mahakama zetu zipo huru na hazitaingiliwa katika hili. Kwa kuwa sababu zipo wazi, jambo hili huwa halichukui muda na wanafunzi hao watarudi kusoma kama kawaida. Mgomo mwingine wowote utapelekea wengi zaidi kukamatwa na hii haitawa saidia wanafunzi hawa. Tukumbuke maamuzi ya kesheria yanapingwa kisheria. Dowans mpaka leo tumepiga kelele na maandamano lakini maamuzi ya mahakama kuu yanasimama. Lazima sheria itumike kutatua matatizo yatokanayo na maamuzi ya kisheria.
 
Poleni sana, ni uamuzi wa kijinga. Huwezi kujenga taifa kwa kuwanyima watu fursa ya kusoma, hawakupaswa kuwafukuza, hata kama uongozi uliona madai yao si ya msingi sioni kama ni busara. Huo ndiyo ujinga na upumbavu wa wahadhiri.

Acha kudharirisha Wahadhiri, mbona unakuwa mgumu kufikiri hivyo!! Maamui yanatolewa na watawala wakishirikiana na vibaraka wao waliowaweka hapo chuo, sio wahadhiri in general.
 
Poleni sana, ni uamuzi wa kijinga. Huwezi kujenga taifa kwa kuwanyima watu fursa ya kusoma, hawakupaswa kuwafukuza, hata kama uongozi uliona madai yao si ya msingi sioni kama ni busara. Huo ndiyo ujinga na upumbavu wa wahadhiri.

Acha kudharirisha Wahadhiri, mbona unakuwa mgumu kufikiri hivyo!! Maamui yanatolewa na watawala wakishirikiana na vibaraka wao waliowaweka hapo chuo, sio wahadhiri in general.
 
gomeni alafu chuo kifungwe,...mtapoteza sana tham gaining

Hawa vijana kama kweli wanataka kuwasaidia wenzao waliofukuzwa na kuondoa kabisa huo uonevu wandelee kugoma, ili kama inawezekana Chuo kifukuze wanafunzi wote.
 
Ni muda mfupi ulio pita,wana UDSM tukiwa tunafurahia pesa kutolewa maarufu kama boom,chuo kimetoa maamuzi ya kuwafukuza chuo moja kwa moja wanafunzi wote waliohusika na kuhamasisha mgomo.
Ni takribani wiki tatu sasa,hali ya UDSM imekuwa tete,baada ya wenzetu kusimamishwa masomo kwa kosa la kudai mikopo kwa mwaka wa kwanza walio kosa!

Boom limeingia,haya mnakula,hao wenzenu wanaobeba mabegi kwenda nyumbani mnawasaidiaaje? acheni ujinga,wenzenu wanaumia nyie mnakula raha shit!
 
My take
Kwa hali ilovyo hali haiwezi kuwa shwari kwa migomo hii. Solution ya kwanza ni kwa wale wenye kesi. Hawa wamefukuzwa solely because wanakesi. Ni kweli sheria za chuo zinasema hivyo lakini ni dhahiri zinapingana na katiba ya nchi. Kwa sababu chuo tayari kimewahukumu hata kabla ya kuhukumiwa. Ina maana wakionekana hawana hatia watakuwa wameadhibiwa pasipo na kosa. Hivyo, Daruso itafute wanasheria, preferably LHRC where they provide legal Aid. Hapa they can pray for injunction from high court ambapo decision ya chuo itawekwa pembeni mpaka hapo kesi yao itakapoisha. Naamini mahakama zetu zipo huru na hazitaingiliwa katika hili. Kwa kuwa sababu zipo wazi, jambo hili huwa halichukui muda na wanafunzi hao watarudi kusoma kama kawaida. Mgomo mwingine wowote utapelekea wengi zaidi kukamatwa na hii haitawa saidia wanafunzi hawa. Tukumbuke maamuzi ya kesheria yanapingwa kisheria. Dowans mpaka leo tumepiga kelele na maandamano lakini maamuzi ya mahakama kuu yanasimama. Lazima sheria itumike kutatua matatizo yatokanayo na maamuzi ya kisheria.

This is what we call great thinking! Keep it UP Calnde
 
sad newz...
utawala wa chuo umefanya maamuz ya kutisha!!!!
1.wanafunz 8 waliokuwa-suspended wamefukuzwa chuo kabisa....
2.wanafunzi 35 wenye kesi mahakamani wamefukuzwa chuo kabisa...
3.wanafunz waliofukuzwa chuo kutodahiliwa chuo chochote cha umma na kunyimwa mkopo maishan mwao mwote....
4.maeneo muhimu ya chuo kama vile cafeteria,lecture rooms,library nk kulindwa na polisi.....
je tutafika???????
inakuwaje kama sheria itawaona kuwa hawana hatia na hawakusitahili kufikishwa mahakamani,bado watakuwa wamefukuzwa chuo?
 
sad newz...
utawala wa chuo umefanya maamuz ya kutisha!!!!
1.wanafunz 8 waliokuwa-suspended wamefukuzwa chuo kabisa....
2.wanafunzi 35 wenye kesi mahakamani wamefukuzwa chuo kabisa...
3.wanafunz waliofukuzwa chuo kutodahiliwa chuo chochote cha umma na kunyimwa mkopo maishan mwao mwote....
4.maeneo muhimu ya chuo kama vile cafeteria,lecture rooms,library nk kulindwa na polisi.....
je tutafika???????

Pongezi kwa Mkandala et al.

Hiyo itakuwa fundisho kwa wote wasiojua malengo ya kwenda chuo. Wakigoma tena timua.


mwisho watatia akili.
 
Kuna miongoni mwa hao waliotoa maamuzi waliwahi kugoma wakati wanasoma, hata hivyo walipata fursa ya kuendelea na masomo na hadi kufikia hatua hiyo ya kupata nafasi za kutoa maamuzi leo hii. Lakini cha ajabu wanatoa maamuzi ya kijinga!
 
sad newz...
utawala wa chuo umefanya maamuz ya kutisha!!!!
1.wanafunz 8 waliokuwa-suspended wamefukuzwa chuo kabisa....
2.wanafunzi 35 wenye kesi mahakamani wamefukuzwa chuo kabisa...
3.wanafunz waliofukuzwa chuo kutodahiliwa chuo chochote cha umma na kunyimwa mkopo maishan mwao mwote....
4.maeneo muhimu ya chuo kama vile cafeteria,lecture rooms,library nk kulindwa na polisi.....
je tutafika???????
Kipengele cha NNE kimenisikitisha na kunishitua sana haya ni maamuzi ya KINYANI kabisa
 
The government is insecure and has decided to be oppressive in response. I wonder why the annually Human Rights report done by LHRC are not taken into consideration.

Oops. Does the gavoo listen anyway? Poleni sana
lhrc na wanaharakati ni wala pesa na vibaraka tu.... umeona wapi impact yao? labda kwenye kuandaa warsha na makongano
 
Back
Top Bottom