The government is insecure and has decided to be oppressive in response. I wonder why the annually Human Rights report done by LHRC are not taken into consideration.
Oops. Does the gavoo listen anyway? Poleni sana
Atakuwa amepitiwa kidogo, si unajua tumetoka kwenye birthday ya Uhuru juzi tu!?unaandika kama umetoka kupata uhuru jana. Au haujui tz kuna vyuo vingi
Nawapa ushauri wa bure vijana mnaosoma UDSM nilitegemea mkidumishe chuo kuwa center of exellence kwanza kwa kusoma kwa bidii sana baada ya kugundua kuwa serikali haina mpango na ninyi hata kidogo na pia wakufunzi wenu wamekatishwa tamaa na masilahi kidogo sana wanayopata na kuamua kuishia kwenye consultance na siasa ili mpate elimu yenye kiwango cha juu mwende zenu ugwaibuni kufanya kazi maana mpango wa serikali ni kuwachanganya muwache kusoma ili wale watoto wao wanaosoma ngambo wakirudi mshindwe kukabiliana nao kwenye interview. mimi wakati wangu wa elimu ya juu nilihakikisha hakuna mtu anayegoma. tulitumia kila ushawishi kuzuia migomo .baada yamasomo tukasepa tukaenda kufanya kazi kwa wale waliokuwa wanahitaji wataalamu - naomba tujaribu kuielewa serikali yetu na tuchukue hatua za kujisaidia wenyewe jamani.Ni muda mfupi ulio pita,wana UDSM tukiwa tunafurahia pesa kutolewa maarufu kama boom,chuo kimetoa maamuzi ya kuwafukuza chuo moja kwa moja wanafunzi wote waliohusika na kuhamasisha mgomo.
Ni takribani wiki tatu sasa,hali ya UDSM imekuwa tete,baada ya wenzetu kusimamishwa masomo kwa kosa la kudai mikopo kwa mwaka wa kwanza walio kosa!
Hii lazima itakua UDSM.
Ila nafikiri nyinyi hamjui maana ya Kunji. yaani hamuwezi pata haki yenu bila Kunji ka maana.
Nawapa ushauri wa bure vijana mnaosoma UDSM nilitegemea mkidumishe chuo kuwa center of exellence kwanza kwa kusoma kwa bidii sana baada ya kugundua kuwa serikali haina mpango na ninyi hata kidogo na pia wakufunzi wenu wamekatishwa tamaa na masilahi kidogo sana wanayopata na kuamua kuishia kwenye consultance na siasa ili mpate elimu yenye kiwango cha juu mwende zenu ugwaibuni kufanya kazi maana mpango wa serikali ni kuwachanganya muwache kusoma ili wale watoto wao wanaosoma ngambo wakirudi mshindwe kukabiliana nao kwenye interview. mimi wakati wangu wa elimu ya juu nilihakikisha hakuna mtu anayegoma. tulitumia kila ushawishi kuzuia migomo .baada yamasomo tukasepa tukaenda kufanya kazi kwa wale waliokuwa wanahitaji wataalamu - naomba tujaribu kuielewa serikali yetu na tuchukue hatua za kujisaidia wenyewe jamani.
Uwendawazimu!Mtoto akinyea nguo unakata makalio... huo ndiyo uamuzi wa kifisadi. Nchi hii inaendeshwa kidikteta hata kama inajitangazia ni nchi ya kidemokrasia. Ni jeshi tu liwezalo kufanya mambo ya namna hiyo kwenye karne hii. Mtaendelea kuwatisha watu wenu mpaka lini hasa pale wanapodai haki zao? Mngekuwa mnafanya hivi kwa mafisadi kusingekuwa na ufisadi hasa wa mikopo. Kauli yangu: Huu ni uonevu wa serikali kwa raia wake. Sijawahi kuona serikali dhalimu namna hii...ukidai haki unaitwa adui, ukiiba, unaitwa mwema. Yana mwisho haya.
Kuna thread imeandikwa hata jana iliyokuwa na kichwa "nguvu ya umma ya shinda". Inazungumza tofauti kabisa na hii stori. Sasa sijui ukweli ni upi. Na kama kuna uongo, ni kwasababu gani? Tena kwa wasomi!?
Ngachoka kapsaa!
unaandika kama umetoka kupata uhuru jana. Au haujui tz kuna vyuo vingi
sad newz...
utawala wa chuo umefanya maamuz ya kutisha!!!!
1.wanafunz 8 waliokuwa-suspended wamefukuzwa chuo kabisa....
2.wanafunzi 35 wenye kesi mahakamani wamefukuzwa chuo kabisa...
3.wanafunz waliofukuzwa chuo kutodahiliwa chuo chochote cha umma na kunyimwa mkopo maishan mwao mwote....
4.maeneo muhimu ya chuo kama vile cafeteria,lecture rooms,library nk kulindwa na polisi.....
je tutafika???????