2mbaku
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 316
- 67
Kuna tetesi kuwa wanafunzi zaidi katika chuo cha afya na sayansi shirikishi watafukuzwa na wengine kusimamishwa masomo mbali na wale 66 kutokana na kuhusika kwa namna moja au nyingine na mgomo uliotokea chuoni hapo tarehe 8 na 10. Swali ni miaka 4 ijayo tutazalisha madaktari wangapi kama wanafukuzwa namana hii? Pallangyo chonde chonde spidi yako punguza Profesa. Ikiwezekana maliza huo ugomvi na kuwarudisha wot haraka iwezekanavyo>