Wanafunzi wenye vipaji maalum!!!

Hujawahi kukutana na mwanafunzi mwenye kipaji wewe. Vinginevyo mtazamo wako usingekua huu.

Mi namkubali special student sio kwa vile kachaguliwa shule ambazo wanadai eti za kipaji.UKIPAJI NI KUTHIHILIKA PALE UTAPO FANYA MAMBO YA KIPEKEE na lenye manufaa kwake,jamii na taifa kwa ujumla.Bora niseme ERIC SHIGONGO ni kipaji maalumu kwa maana kazi yake imeonekana.Mbona watu kibao wamesoma St.Kayumba ila wapo on fire mbaya.
 
Mi namkubali special student sio kwa vile kachaguliwa shule ambazo wanadai eti za kipaji.UKIPAJI NI KUTHIHILIKA PALE UTAPO FANYA MAMBO YA KIPEKEE na lenye manufaa kwake,jamii na taifa kwa ujumla.Bora niseme ERIC SHIGONGO ni kipaji maalumu kwa maana kazi yake imeonekana.Mbona watu kibao wamesoma St.Kayumba ila wapo on fire mbaya.

Wanafunzi wenye vipaji maalumu wapo ingawa si kila aliyefaulu kwenda shule hizo ana kipaji. After all hawa wanaweza kutoka katika shule zozote iwe ni za kata ama za private zenye ada kubwa. Bottom line ni kuwa kuna wanafunzi walio na uwezo katika masomo wa juu kuliko kawaida.
 
Wanafunzi wenye vipaji maalumu wapo ingawa si kila aliyefaulu kwenda shule hizo ana kipaji. After all hawa wanaweza kutoka katika shule zozote iwe ni za kata ama za private zenye ada kubwa. Bottom line ni kuwa kuna wanafunzi walio na uwezo katika masomo wa juu kuliko kawaida.

Sasa uwezo wa masomo ni kipaji maalumu? Manake mtu unaweza ukawa msongo na ukafaulu vizuri na usiwe na kipaji maalumu. Sijui walikuwa wanatumia vigezi gani tu kuamua kuwa huyu ana kipaji maalumu na huyu hana. Kama ni matokeo ya mitihani ya taifa tu peke yake basi hao waamuzi walikuwa hawana akili.

Kipaji maalumu kwangu ni mithili ya Shakespeare, Isaac Newton, Einstein, Stephen Hawking, etc. Ila siyo wasongo wakukremu ma past papers. Ndo maana sishangai kuwa na hali tuliyonayo!
 
Sasa uwezo wa masomo ni kipaji maalumu? Manake mtu unaweza ukawa msongo na ukafaulu vizuri na usiwe na kipaji maalumu. Sijui walikuwa wanatumia vigezi gani tu kuamua kuwa huyu ana kipaji maalumu na huyu hana. Kama ni matokeo ya mitihani ya taifa tu peke yake basi hao waamuzi walikuwa hawana akili.

Kipaji maalumu kwangu ni mithili ya Shakespeare, Isaac Newton, Einstein, Stephen Hawking, etc. Ila siyo wasongo wakukremu ma past papers. Ndo maana sishangai kuwa na hali tuliyonayo!

kweli kabisa..
 
Sasa uwezo wa masomo ni kipaji maalumu? Manake mtu unaweza ukawa msongo na ukafaulu vizuri na usiwe na kipaji maalumu. Sijui walikuwa wanatumia vigezi gani tu kuamua kuwa huyu ana kipaji maalumu na huyu hana. Kama ni matokeo ya mitihani ya taifa tu peke yake basi hao waamuzi walikuwa hawana akili.

Kipaji maalumu kwangu ni mithili ya Shakespeare, Isaac Newton, Einstein, Stephen Hawking, etc. Ila siyo wasongo wakukremu ma past papers. Ndo maana sishangai kuwa na hali tuliyonayo!

Wanaopata alama za juu katika masomo Kwa mfumo wa elimu \mazingira ya kwetu hao ndio wanaitwa wenye vipaji maalumu. Labda kuna haja ya kuja na vigezo/ tafsiri mpya ya "vipaji maalumu" itakayoendana na kina galileo and the co.
 
Sasa uwezo wa masomo ni kipaji maalumu? Manake mtu unaweza ukawa msongo na ukafaulu vizuri na usiwe na kipaji maalumu. Sijui walikuwa wanatumia vigezi gani tu kuamua kuwa huyu ana kipaji maalumu na huyu hana. Kama ni matokeo ya mitihani ya taifa tu peke yake basi hao waamuzi walikuwa hawana akili.

Kipaji maalumu kwangu ni mithili ya Shakespeare, Isaac Newton, Einstein, Stephen Hawking, etc. Ila siyo wasongo wakukremu ma past papers. Ndo maana sishangai kuwa na hali tuliyonayo!
kwa definition hii Africa hakuna vipaji maalum
 
Hii thread imanifanya nijue nani kipaji maalum na vilaza waliosoma shule za kuunga unga.
Naomba kama mna muda mpities thread za Ilboru, Tabora boyz, Mzumbe na Kibaha!
 
Hii thread imanifanya nijue nani kipaji maalum na vilaza waliosoma shule za kuunga unga.
Naomba kama mna muda mpities thread za Ilboru, Tabora boyz, Mzumbe na Kibaha!
inasikitisha kuona kipaji maalum kama wewe unatumika na magamba!!
 
Sasa uwezo wa masomo ni kipaji maalumu? Manake mtu unaweza ukawa msongo na ukafaulu vizuri na usiwe na kipaji maalumu. Sijui walikuwa wanatumia vigezi gani tu kuamua kuwa huyu ana kipaji maalumu na huyu hana. Kama ni matokeo ya mitihani ya taifa tu peke yake basi hao waamuzi walikuwa hawana akili.

Kipaji maalumu kwangu ni mithili ya Shakespeare, Isaac Newton, Einstein, Stephen Hawking, etc. Ila siyo wasongo wakukremu ma past papers. Ndo maana sishangai kuwa na hali tuliyonayo!

Nini kigumu kueleweka? Hawa walikuwa wanafunzi wa vipaji maalumu katika masomo siyo katika maisha uraiani au katika kazi. Wapo vichwa wengine hadi leo lakini serikali ilikosea kuweka sekondari maalumu ikasahau vyuo vyao maana wakimaliza walienda ktk vyuo na kuchanganyika na div 3 za shule za kawaida wakaanza kutembezwa gwaride la nguvu maana kule walikuwa wanapikwa ili wafaulu vizuri wakienda kwa waliokuwa wakijipika mambo yankuwa tofauti na mtaani hawa spercial wanatumia madesa yanagoma kuprove mafanikio ya maisha yanakuwa sawa na wengine tu.
 
Nini kigumu kueleweka? Hawa walikuwa wanafunzi wa vipaji maalumu katika masomo siyo katika maisha uraiani au katika kazi. Wapo vichwa wengine hadi leo lakini serikali ilikosea kuweka sekondari maalumu ikasahau vyuo vyao maana wakimaliza walienda ktk vyuo na kuchanganyika na div 3 za shule za kawaida wakaanza kutembezwa gwaride la nguvu maana kule walikuwa wanapikwa ili wafaulu vizuri wakienda kwa waliokuwa wakijipika mambo yankuwa tofauti na mtaani hawa spercial wanatumia madesa yanagoma kuprove mafanikio ya maisha yanakuwa sawa na wengine tu.

Kipaji maalumu katika masomo ndo kipi hicho? Na ni kigezo au vigezo gani ambavyo hutumiwa au vilitumiwa kuamua huyu ana kipaji maalumu na huyu hana?

Walikuwa wanaangalia nani anakuwa wa kwanza darasani au walikuwa wanaangalia nani kapata divisheni wani kwenye mtihani wa taifa?

Manake kuwa wa kwanza darasani kwangu siyo kipaji maalumu. Kupata divisheni wani kwangu si kipaji maalumu. Yote haya mawili mtu unaweza ukayafanikisha kwa juhudi na bidii zako tu za kujisomea!

Nataka kujua vigezo walivyokuwa wanatumia kuamua ni yupi kati ya wengi ana kipaji maalumu.
 
Sasa fasili ya kipaji maalumu ni nini? Kupata divisheni wani kwenye mtihani wa taifa?
Kupata div one( na kumbuka div one hapa nayoiongelea ni ya point 9,8,7 kwa form 4 na point 5,4,3 kwa form six) kunategemea na uwezo wa mtu kufikiri. Kama mtu hana upeo mkubwa hata akisoma vipi hawezi kufikia hiyo achievement. Ukiangalia na vyuoni hawa watu huwa wanatoka na first class au upper second ya maana. Performance ya kazin ni kubwa sana ndio maana internationl org huwa zinapenda kuwaajiri.
 
Kupata div one( na kumbuka div one hapa nayoiongelea ni ya point 9,8,7 kwa form 4 na point 5,4,3 kwa form six) kunategemea na uwezo wa mtu kufikiri. Kama mtu hana upeo mkubwa hata akisoma vipi hawezi kufikia hiyo achievement. Ukiangalia na vyuoni hawa watu huwa wanatoka na first class au upper second ya maana. Performance ya kazin ni kubwa sana ndio maana internationl org huwa zinapenda kuwaajiri.

Kwa hiyo uwezo wa kufikiri ndiyo kipaji maalumu? Mimi mbona niligonga divisheni wani lakini sina uwezo mkubwa wa kufikiri. Niliigonga kwa juhudi zangu mwenyewe za kujisomea.
 
Kupata div one( na kumbuka div one hapa nayoiongelea ni ya point 9,8,7 kwa form 4 na point 5,4,3 kwa form six) kunategemea na uwezo wa mtu kufikiri. Kama mtu hana upeo mkubwa hata akisoma vipi hawezi kufikia hiyo achievement. Ukiangalia na vyuoni hawa watu huwa wanatoka na first class au upper second ya maana. Performance ya kazin ni kubwa sana ndio maana internationl org huwa zinapenda kuwaajiri.

yani huyu jamaa sijui anaishi mochwari? Nawasiwasi na kichwa chako,Mi nimesoma uclas nimeishi main campus udsm na hao ma TO,kuna majembe yameingia ud na point 9 mpaka 12 form six pale ud ila wamekimbiza overall gpa ya ud nzima,mfano salome maro mwaka 2010 alikuwa na div 2.10 sasa sijui huyu ni kipaji? Maana yeye anasema ni juhudi zake katika kusoma sana ndio ameweza kuibuka best student.Acha utaira na kuadithiwa mambo sisi tunaishi nao hao tunajua kila kitu misuli tu.
 
yani huyu jamaa sijui anaishi mochwari? Nawasiwasi na kichwa chako,Mi nimesoma uclas nimeishi main campus udsm na hao ma TO,kuna majembe yameingia ud na point 9 mpaka 12 form six pale ud ila wamekimbiza overall gpa ya ud nzima,mfano salome maro mwaka 2010 alikuwa na div 2.10 sasa sijui huyu ni kipaji? Maana yeye anasema ni juhudi zake katika kusoma sana ndio ameweza kuibuka best student.Acha utaira na kuadithiwa mambo sisi tunaishi nao hao tunajua kila kitu misuli tu.
Chuo hamna elimu, shule gani ya kunegotiate course work? shule gani mwalimu ndio anaamua atoe mtihani gani na maswali gani based on anachokijua yeye? Ukitaka kujua uwezo wa mtu, lazima kuwe na mtihani unaotungwa na bodi maalumu, na uwe na same standard.
Huyo mdada huwezi fahamu alitumia mbinu gani kupata hiyo GPA, chuoni ni sehemu ambayo unaweza ukatumia means unazozitaka kupata GPA unayoitaka...this doesnt appy kwa form 4 na six!
 
Kuna wale waliojitangazaga eti hawatafanya mapenzi kujilinda na ukimwi,,
walikua wanazunguka kwenye TV station,,,sijui kama bado wako bikra mpaka leo.
 
Mbaya zaidi walioitwa wanavipaji maalum,,wanafanya mtihani mmoja na wasio na vipaji.
 
Chuo hamna elimu, shule gani ya kunegotiate course work? shule gani mwalimu ndio anaamua atoe mtihani gani na maswali gani based on anachokijua yeye? Ukitaka kujua uwezo wa mtu, lazima kuwe na mtihani unaotungwa na bodi maalumu, na uwe na same standard.
Huyo mdada huwezi fahamu alitumia mbinu gani kupata hiyo GPA, chuoni ni sehemu ambayo unaweza ukatumia means unazozitaka kupata GPA unayoitaka...this doesnt appy kwa form 4 na six!

Sijawahi kuona mtu asiye na fikra kama wewe,kwahiyo unaona NECTA ni safi kabisa halafu mfumo unaotumika chuo kikuu sio? Wewe lazima utakuwa uli-disco maana kwa kikomo chako huna uwezo wa kuwa muhitimu wa chuo chochote hapa Tanzania na nashangaa NECTA umepita pita vipi kweli NECTA hakuna kitu.
 
Sijawahi kuona mtu asiye na fikra kama wewe,kwahiyo unaona NECTA ni safi kabisa halafu mfumo unaotumika chuo kikuu sio? Wewe lazima utakuwa uli-disco maana kwa kikomo chako huna uwezo wa kuwa muhitimu wa chuo chochote hapa Tanzania na nashangaa NECTA umepita pita vipi kweli NECTA hakuna kitu.
Naona hoja yangu imekushinda kuijibu!
Ukitaka kumfahamu mtu ni kipaji siyo kwa kumpima kwa mitihani ya chuo...kipaji kinaanzia utotoni. Angalia performance yake from KG, primary school and secondary school ambapo wanapimwa na mtiani wenye same standard na ambao hauna negotiations ya marks! anachokipata ndicho hicho hicho anachokifahamu!
 
Back
Top Bottom