Wanafunzi wenye vipaji maalum!!!

Jamani wale jamaa ni noma, sio wote lakini 40% yao ni vipaji. nilisoma mzumbe miaka hiyo, mwalimu ukitoka shule nyyingine mtihani wa kwanza lazima mia zipigwe kibao. kuna jamaa hata kusoma hawasomi lakini paper wanapiga kama kawaida. Hao wanao disco sio tatizo kwani mtu intellegent sio lazima afaulu kama unamlazimisha kufeli. na siku zote hawahitaji sana masaada wa mwalimu kujua mambo wao kitabu na akili zao zinatosha. Udsm mfumo si mzuri, wale wazee wanataka wabakie wao tuu pale mlimani, wanatakiwa kubadilika.
Lakini zle shule serikali lazima izirudishe kwani zilikuwa zinamotivate sana vijana. wewe ambae hujasoma special huji utamu wa special. umechelewa na haiwezekani tena, ni experience ya tofauti kusoma na vijana vipaji.
 
NN,
Tatizo siyo Maengineer. Tatizo ni absence of research funding. Kama serikali yetu ingeweka kipaumbele kwenye swala la utafiti kivitendo, nina uhakika maengineer wetu wangekuja na solution nzuri tu za matatizo yetu.
Nchi za ulaya mwanafunzi mmoja anatengewa zaidi ya usd 20,000 kwa utafiti. Marekani ni zaidi ya hapo. Sisi, mmmh sifuri.
Kwa hiyo tusiwalaumu wataalam wetu na wanafunzi wetu wenye vipaji maalum.

research fund sio lazima itoke serikalini.wamejaribu kuandika hizo proposals na kutafuta funds kutoka mashirika au mifuko mbalimbali?jibu ni hapana wako kimyaaa.
 
Vipaji maalum my ass.....kipindi kile mbwembwe kibao watu tulikuwa hatunywi maji...kudadadeki wako wapi sasa wengi wanywa gongo tu mtaani.
 
Halafu kwanza walikuwa na vipaji gani na kwenye nini?

Naona watu wana hasira kweli hapa. Mi sidhani mtu akiitwa ana kipaji maalum basi ndo utegemee avumbue nyuklia katika mazingira haya haya ya Tanzania. Nchi yetu tunaijua na jjamii yetu pia. Hata usipokuwa na "kipaji maalum" mazingira yetu yana changamoto nyingi. Vipaji maalum actually ilikuwa ni kigezo cha marks na si upeo wa mtu binafsi. Hata wanaoponda "vipaji maalum" kwani kuna lipi walilofanya? Ni Watanzania wangapi wamefanya discoveries zozote za maana (bila kujali ni vipaji maalum ama la)? Nchi zetu "ubongo" bado umelala. Mi nilisoma Mzumbe. Ni wazi palikuwa na wengi waliokuwa na uwezo binafsi kichwani jappo ni kweli pia wengine hawakuwa na uwezo wowote usio wa kawaida.

Mimi bado nagombana na Watanzania kwa ujumla kuliko kugombana na "wenye vipaji maalum." Ni wangapi huu JF wanatoa hoja ambazo ni constructive sana? Angalia hata jukwaa la Sayansi na Technolojia ni wangapi wanachangia? Hivi hamuoni wengi tunakimbilia majukwaa ya Mapenzi, Siasa na Michezo? Tutatukanana hadi kesho, swali litabaki, je wewe una lipi la ajabu unaloweza kutuonyesha?
 
Lakini zle shule serikali lazima izirudishe kwani zilikuwa zinamotivate sana vijana. wewe ambae hujasoma special huji utamu wa special. umechelewa na haiwezekani tena, ni experience ya tofauti kusoma na vijana vipaji.

hakuna haja ya kuzirudisha zilikuwa zinamotivate wizi wa mitihani
 
Naona watu wana hasira kweli hapa. Mi sidhani mtu akiitwa ana kipaji maalum basi ndo utegemee avumbue nyuklia katika mazingira haya haya ya Tanzania. Nchi yetu tunaijua na jjamii yetu pia. Hata usipokuwa na "kipaji maalum" mazingira yetu yana changamoto nyingi. Vipaji maalum actually ilikuwa ni kigezo cha marks na si upeo wa mtu binafsi. Hata wanaoponda "vipaji maalum" kwani kuna lipi walilofanya? Ni Watanzania wangapi wamefanya discoveries zozote za maana (bila kujali ni vipaji maalum ama la)? Nchi zetu "ubongo" bado umelala. Mi nilisoma Mzumbe. Ni wazi palikuwa na wengi waliokuwa na uwezo binafsi kichwani jappo ni kweli pia wengine hawakuwa na uwezo wowote usio wa kawaida.

Mimi bado nagombana na Watanzania kwa ujumla kuliko kugombana na "wenye vipaji maalum." Ni wangapi huu JF wanatoa hoja ambazo ni constructive sana? Angalia hata jukwaa la Sayansi na Technolojia ni wangapi wanachangia? Hivi hamuoni wengi tunakimbilia majukwaa ya Mapenzi, Siasa na Michezo? Tutatukanana hadi kesho, swali litabaki, je wewe una lipi la ajabu unaloweza kutuonyesha?

wale tusiokua na vipaji maalumu tulihitaji muongozo kutoka jamaa wenye uwezo mkubwa.sitegemei kuona maendeleo ktk nchi hii iwapo tunashindwa kugundua ,kuviendeleza na kuvitumia vipaji maalum.kuhusu mazingira magumu;nadhani hayo ndiyo yanahitajika kuchochea maendeleo ya mwanadamu.
 
Naona watu wana hasira kweli hapa. Mi sidhani mtu akiitwa ana kipaji maalum basi ndo utegemee avumbue nyuklia katika mazingira haya haya ya Tanzania. Nchi yetu tunaijua na jjamii yetu pia. Hata usipokuwa na "kipaji maalum" mazingira yetu yana changamoto nyingi. Vipaji maalum actually ilikuwa ni kigezo cha marks na si upeo wa mtu binafsi. Hata wanaoponda "vipaji maalum" kwani kuna lipi walilofanya? Ni Watanzania wangapi wamefanya discoveries zozote za maana (bila kujali ni vipaji maalum ama la)? Nchi zetu "ubongo" bado umelala. Mi nilisoma Mzumbe. Ni wazi palikuwa na wengi waliokuwa na uwezo binafsi kichwani jappo ni kweli pia wengine hawakuwa na uwezo wowote usio wa kawaida.

Mimi bado nagombana na Watanzania kwa ujumla kuliko kugombana na "wenye vipaji maalum." Ni wangapi huu JF wanatoa hoja ambazo ni constructive sana? Angalia hata jukwaa la Sayansi na Technolojia ni wangapi wanachangia? Hivi hamuoni wengi tunakimbilia majukwaa ya Mapenzi, Siasa na Michezo? Tutatukanana hadi kesho, swali litabaki, je wewe una lipi la ajabu unaloweza kutuonyesha?

enzi hizo JF ilikua na great thinkers maana wanajua kuchanganua na kubishana kwa hoja...
 
Mweh! Akina sie hatukuwahi hata siku moja kuwa wa kwanza darasani. Teh teh teh....
 
Naishukuru sana Ilboru! Imenitengeneza na imeendeleza kipaji changu. Am special..kila mtu anaapreciate!
 
Naishukuru sana Ilboru! Imenitengeneza na imeendeleza kipaji changu. Am special..kila mtu anaapreciate!

what have you done to your community lately? Tell us why do you think your that special? If you can't answer then it simply you don't deserve those appreciations.
 
Spesio pipo mko juu,gifted,talented and intrinsic pipo!!! Vipaji maalum sijawai kuona shule hapa TZ yenye vipaji maalum.
Maana ukisema vipaji ni field kubwa mfano mpira,riadha,kuchora,hesabu,sayansi,mechanics etc Ukitaka kujua vipaji maalum nenda kwa mafundi redio,magari na ujenzi ambao wengi wameishia la saba,form four but they do things kuliko wewe unayetamba kuwa am special.
 
Tupo mkuu, mie nilikuwa Ilboru kweli hatuna mbele wala nyuma, isitoshe tulikuwa tunatafuniwa kila kitu, nilipofika chuo (udsm) nilitamani tujengewe chuo chetu, pale FOE (FACULTY OF ENGINEERING) shule ilikuwa ngumu mno, wengi tulikula disco wakatupotezea, najuta kusoma special skul, tupo tupo tu .....

Acha Uzushi wewe! Ilboru Utafuniwe? Na Shembilu?(RIP) na Akyoo! Mkuu nimesoma Ilboru Mazingira ya Shule nikimaanisha Majengo na Vitabu yalikuwa yakuridhisha sana ila Wanafunzi walikuwa ni watu wa kujitafutia sana na lazima nikir kwamba Ilboru nilikutana na watu ambao walikuwa na Thinking Capacity kubwa sana na kama tungekuwa na utaratibu wa kuendeleza watu wa aina ile basi tungekuwa na wanasayansi wazuri sana Tanzania lakini wengi wamekuja kumezwa na Mfumo mbovu na wamekuwa hawana Mbele wala Nyuma

Kuhusu wote kufeli UDSM huo ni uongo kaka Nakumbuka karibu 100% ya tuliomaliza Ilboru tulienda University na Nakumbuka ni Mmoja tu ndiye aliyedisco so Acha Kusingizia
 
Ma engineer wa kwenye makaratasi tu hao. Ma engineer gani wanashindwa kuvumbua mashine za kutengenezea/kuzalisha umeme....kila mwaka kuna mgao.....Miafrika bana

Mkuu NN Ni kweli kabisa wahandisi wa Kitanzania au Kiafrika hawajafanya kile ambacho wahandisi wa Ulaya na Marekani wamefanya unaweza kuwalaumu hawa watu lakini ni kuwaonea tu Mkuu! Mkuu huwezi kutumia muda mwingi kugundua wala kutengeneza kitu cha maana wakati wewe ni Nguzo ya katikakti Umemaliza Chuo na una lundo la dependants ambao wanategemea uwape ada na usaidie wazazi. Maisha Magumu na ya Kimaskini zimefanya watu wengi kukimbilia kuajiriwa pale wanapomaliza vyuo sasa usitegemee Mtu aliyeajiriwa Voda au Tanesco anafanya kazi mpaka saa kumi na Mbili jioni atapata muda wa kukaa hata na Circuit Maker kujaribu kudesign hata Traffic light yenye akili, ni ngumu sana mkuu.
 
kwa kwel mim ni kat yao, nilimaliza tabora school 97_nime graduate 2002, na nimekuwa najitahid kuleta mabadiliko always. Nimewahi kuandikiwa barua ya pongez na boss wangu kwa utendaji wangu_tatizo in public service there is no enough room to show how much u can_cauz the room is reserved for the use of politicians_ndo mana hata vipanga wote kama akina prof wa mifupa wameishia kwenye siasa tu_kaz sana hapa tz
jipe moyo ndugu
 
....ila nimegundua humu jamvini kuna watu wenye mawazo potofu yenye wivu na kuonekana kushindwa kuwa na fikra za kiuahlisia. Hivi wewe kama ulishindwa kung'ara na kuchaguliwa special skul maana yake hukuwa na kiwango cha huyo aliyeenda special, kwa hiyo hapo inabidi ukili kuwa wapo vijana waliokuwa na vipaji. Wote mnaoponda special school mnawivu na hamna ubongo sahihi, akili zenu inaonekana zimechakachuliwa na mfumo dume wa kuamini hakuna mtu mwenye uwezo wa pekee anayeweza kuleta jambo jema ktka jamii.

Mfano kwa nini USA wameendelea? ni kwa sababu ya vijana pekee wenye uwezo wa pekee wa akili kupewa nafasi, mnadhani isingekuwa USA kutumia huu mfumo wa kubakiza wenye vipaji ingeweza kuwa hapo ilipo? Tuache ushabiki juu ya hili suala, na tuliosoma kiukweli special school tupo na mifano yetu ipo sema hatukuwa special wa kugundua ndege.Suala la kudisko chuo hilo ni jambo lilichangiwa na mambo mengi, moja ni vijana hawa wengi hawakuwa exposed kwenye maisha ya dunia, wengi walikuwa wakifika chuo mademu na pombe vyote vinawakaribisha kiasi kwamba wanakuwa hawana concentration ya masomo darasani, lakini wengi walio soma shule za kawaida wao walikuwa wengi exposed na mazingira na walikuwa pia wanajifahamu kuwa uwezo wao wakiakili ni mdogo hivyo walijitahidi kukomaa kinoma ili waoneshe nao wanaweza, na elimu ya chuo mara nyingi background haina nafasi sana.

Kuhusu waliopo USA, siyo kwamba wanauza madawa, huu ni uzushi na wivu tu unaowasumbua vijana nyie msiokuwa special. Ni vijana wanafanya kazi nzuri tu na wameajiriwa na wanatumia vipaji vyao.

Na nadhani tatizo kubwa la watanzania MNAMAJUNGU sana, ni wavivu wa kufikiria zaidi ya kumfikiria nani anafaa au hafai vipi badala ya kufikiria maendeleo leo unafikiria eti fulani anafaa vipi. Kwa msingi huu maendeleo ni ndoto ndiyo maana CCM wanaitumia hii nafasi ya majungu kuendesha siasa na wanafanikiwa kwa sababu watz mnapenda majungu.
 
Tupo mkuu, mie nilikuwa Ilboru kweli hatuna mbele wala nyuma, isitoshe tulikuwa tunatafuniwa kila kitu, nilipofika chuo (udsm) nilitamani tujengewe chuo chetu, pale FOE (FACULTY OF ENGINEERING) shule ilikuwa ngumu mno, wengi tulikula disco wakatupotezea, najuta kusoma special skul, tupo tupo tu .....

Siwezi kukubaliana na wewe kwa hilo, nakumbuka mimi vijana wengi especially wale wakwanza kabisa zilipoanzishwa special schools 1992, almost 99% walijiunga na UDSM na vyuo vingine nje ya nchi, wengi walimaliza wako nje ya nchi kwenye vyuo mbali mbali wakifundisha kama Canada, Marekani.

Wengine wengi wako nchi kama Botswana , Namibia wakifanya kazi na pia kufundisha huko.
Wengine wengi wako nchini na kwa ninaowajua wachache wako kwenye makampuni mbali mbali na ni wazuri tu.

Kwa bahati mbaya mimi sikuchaguliwa kujiunga na hizo special schools, lakini kwa hakika jamaa walichanguliwa kwa kufanya vizuri mitihani ya kidato cha nne, hakuna haja ya kuwaonea wivu na kusema eti wako wapi, na hata kama kuna ambao hawako vizuri kwa sasa, hayo ni maisha tu, ila kwa kipindi kile ni kweli walichaguliwa kujiunga na hizo shule kwa sababu ya good performance ya mitihani ya kidato cha nne.

Ni nchi yetu tu imeshindwa kuvitumia vipaji walivyokuwa navyo hao vijana na pengine hatukuwa na mkakati madhubuti ya what to do with them baada ya pale.
 
Azaboys, hili chama lina nafasi yake kubwa katika duru za taaluma bongo:
Motto ya azaboy: Academic excellence, solidarity and sportsmanship is our motto:

School anthem:

"in haven of peace azania stand at ease, to awaken, strengthern, feed our hungry minds
chorus: "you are known far and wide, you are always our guide, we will never forget you"
...................
 
Back
Top Bottom