Wanafunzi wawili wa kike watelekezwa 'guest'

...............................Mmmh mi hi signature yako inanipa majibu mengi kuliko maswali.....how can a president tell you something in the audience and when you see him he smiles at you like a little baby? Head of State? Please !!!!...Tanzania (by Lisa M Rockefeller)
 
1.Hawa wanamiaka chini ya 18 ni watoto 2. Ni wanafunziHuyu baba akamatwe kwa kuwalaghai watoto na kuwatelekezaAshitakiwe kwa mujibu wa sheria za TZ
Lakini Nata utakubaliana na mimi kwamba mtu mwenye umri wa miaka 16 hawezi kufanya maamuzi, ni wadogo kisheria lakini ni watu wazima kibinadamu. Huyo mbaba akamatwe lakini hao watoto wakome kusema wamejifunza kupitia makosa kwani ni maneno ya kukopi.
 
Elli, unachosema ni kweli kabisa, na kwa kweli nashangaa michango ya wengi kwenye hii mada. Sijui labda wengi humu wamekuwa mashuleni miaka ya 60, 70 na 80, sijui miaka hiyo hali mashuleni ilikuwaje. Lkn miaka ya 90 na kuendelea haijalishi umesoma day au boading, ukisema hukuona au hujui 'vituko' vya wanafunzi, ni ajabu. Wanafunzi 'kuwatega' walimu na wanafunzi wenzao, kutumia vibaya fursa za kwenda tuition, likizo, weekend nk. Tukifumba macho na kujifanya hatuoni kuwa wanafunzi wengi wanamiliki simu ambazo wazazi/walezi hawajui (na nyingi ni za bei mbaya.) Tukifumbia macho ukweli kuwa vyombo vyetu vya habari (magazeti wanayopata zaidi ni ya udaku) vipindi vingi vya radio na tv ni vya kuwapotosha. Tukijilazimisha kutokuona tatizo kuwa ratiba na majukumu ya wazazi wengi wa mijini ktk taifa hili haviwapi mda wa kutosha kuwa na watoto wao. Tunapoendelea na utamaduni wa mwanaume wa miaka 30 mwenye afya na nguvu kukaa kwenye siti ya daladala na mwanafunzi wa miaka 10 akiachwa kubanana na watu wazima akiwa amesimama bila kumhurumia... Wanafunzi wanaponyanyaswa na kuzuiwa kupanda kwenye daladala na tunaona sawa, Tusishangae kusikia makubwa zaiadi ya waliyofanya hao watoto.
 
Hao wako kwenye foolish age.........kuna kitu tunaita peer preassure.......nahisi na uangalizi wa wazazi pia ni mbovu...............na hakuna elimu ya vijana na ujana/kujitambua,kuyakabili matamanio ya kimwili n.k

Kama ipo..........wanaoipata ni wachache sana.

Katika hali hiyo hawawezi kufanya maamuzi yaliyosahihi kwa maisha yao hata siku moja...........................

Halafu jamii tunasahau kuwa walezi ni kila mmoja anayemzunguka mtoto kwa nyakati tofauti..............HILI lizee(nahisi lina sura mbaya kama tabia yake) lilitakiwa kuwa sehemu ya walezi hao...........................
Badala yake ..................limekuwa na mchango mkubwa katika kuwaharibia maisha.........................

Tuache tabia ya kusema "watoto wa siku hizi"......tukumbuke.......wako kwenye mazingira magumu sana kimakuzi kutokana na utandawazi na mtazamo wa jamii kwa ujumla kuhusu malezi...............jamii imejitoa kwenye malezi............kama hujamzaa eti hakuhusu..............MBAYA SANA!

Mimi binafsi linaniumiza sana hili.
 
Swali, wazazi wao wako wapi?

si ndio hapo? yaani mabinti hawajaonekana nyumbani kwa mwezi
mzima hao walezi (mjomba na dada) wametulia tu! au hao walezi
nao wameshjichokea na mwenendo wa hao mabinti hivyo hawajali tena?
 
nani amchukulie kama watunga sheria wanajimwaga na vitoto? Bongo ndo hiyo AD, maigizo mpaka kwenye sheria...

kwa hiyo uachosema ni kila mtu na mzigo wake wa dhambi..
dahhh tumekwisha kwa kweli ...
kama mafataki wanaachiwa hivi hivi....
hii balaa sasa
 
Duh,,,Wazazi au mabazazi??
si ndio hapo? yaani mabinti hawajaonekana nyumbani kwa mwezi
mzima hao walezi (mjomba na dada) wametulia tu! au hao walezi
nao wameshjichokea na mwenendo wa hao mabinti hivyo hawajali tena?
 
Duh, pati taym tena, mi ndio nimekimbia kabisa full time....au unataka ukavitafune? easy kuvipata sasa kama dereve wa daldala anamiliki vitatu hadi vinne, konda anavyo vya kuanzia primary hadi chuo, wewe na suti yako hio utakosa kweli???
habari ya kazi bwana mwalimu? nitapataje hii kazi kwa pati taim?
 
Inasikitisha sana! But funny enough kama wanaweza kuchangia hela ya chakula kwa nini hiyo hela wasingefanye ni nauli? kama mwamndishi wa habari hizi asingewagundua wangekaa kimya hadi lini? Na watapokelewa tena shuleni kweli?


Hili ndio swali la msingi!

Kwa kifupi malezi ya siku hizi ni magumu mno tena katika mazingira ya umaskini na vishawishi vya kila namna.
Nionavyo mimi hawa wasichana wana tabia mbaya kuanziia huko majumbani kwao.
Huenda wameshindikana na hawana hata haja na shule.
Msichana wa miaka 16/17 mwenye uthubutu wa kuondoka nyumbani na mwanaume mtu mzima
kisha kuja kuwekwa guest house kwa muda mrefu hivyo ni zaidi ya "jasiri".
Pia huko majumbani mwao, waliaga vipi hadi wakaruhusiwa kwenda DSM na kukaa mwezi?
Kuna tatizo katika malezi hapo.
Pia huyo baba aliyewaweka guest house huenda hata hilo jina ni bandia na itakuwa kazi kubwa kumkamata
na kumwajibisha.
Cha kufanya, Serikali iingilie kati kuwakomboa hawa mabinti na kuwarudisha Arusha chini ya police escort!
 
kwa hiyo uachosema ni kila mtu na mzigo wake wa dhambi..
dahhh tumekwisha kwa kweli ...
kama mafataki wanaachiwa hivi hivi....
hii balaa sasa

Wewe hujui yule jibaba ni nani uenda mbunge wa huko Samunge au Manyara so utegemee nini hapo?
 
Back
Top Bottom