Sijui hizi shule zinafundisha nini kwa kweli. kuna thread ingine ya wanafunzi kumpiga mwalimu na kumtoa meno!
wengi wa wanafunzi wa bagamoyo ni wasukuma.hivi wasukuma wana tabia ya kubaka?
Mkuu hayo majina yaliyotajwa umeyaona ni ya kisukuma? Au una visa na wasukuma!wengi wa wanafunzi wa bagamoyo ni wasukuma.hivi wasukuma wana tabia ya kubaka?
Walimu wenyewe nao wanachangia viwalimu vya siku hizi vi csta du alafu wanavaa nguo za mitego chaki ikidondoka akiiokota huku nyuma anawaachia balaa hao wanafunzi wataacha kummezea mate
wengi wa wanafunzi wa bagamoyo ni wasukuma.hivi wasukuma wana tabia ya kubaka?
Duh!!!Kazi imeanza..
Si ndo mnavyotaka tuishi hvy cku hz,mambo mengine ni janga la kitaifa lkn nyny mnaangalia kwa jicho lingine bac ngoja na sisi tuangalie kihvyohvyo
Wanafunzi wanane wa Shule ya Sekondari Bagamoyo wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bagamoyo kujibu tuhuma za kumbaka mwalimu wao kwa zamu.
Katika kesi hiyo iliyojaza umati mkubwa wa wakazi wa eneo hilo, imedaiwa kuwa wanafunzi hao walimbaka mwalimu huyo kwa zamu na kumsababishia maumivu makali.
Mwendesha Mashtaka wa Polisi, William Mwantela alimwambia Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Said Mkasiwa kuwa wanafunzi hao walitenda kosa hilo Januari 16 mwaka huu katika mazingira ya shule hiyo.
Aliwataja wanafunzi hao kuwa ni Emmanuel Antoni, Fadhili Nassoro, Nassa Yohana, Benjamini Mhina, Yusuph Timothy, Frank Jackson, Frank Kanya na Hamisi Timbwa.
**
Mwendesha mashtaka huyo alidai mahakamani hapo kuwa tukio hilo lilitokea shuleni hapo Januari 16 mwaka huu majira ya saa 9:00 jioni.
*
Hata hivyo, watuhumiwa hao wote walikana shtaka na kesi hiyo imeahirishwa hadi Februari 29 mwaka huu baada ya mwendesha mashtaka huyo kudai kuwa ushahidi haujakamilika.
Awali kabla ya kuahirisha kesi hiyo upande wa utetezi ulimwomba hakimu kuruhusu dhamana na hakimu aliruhusu akitaka kila mmoja adhaminiwe na mtu mmoja mwenye hati na kitambulisho ambaye atasaini hati ya dhamana ya Sh2milioni.
*
Washitakiwa watatu walifanikiwa kutimiza masharti hayo ya dhamana na wako nje, lakini wengine watatano wameshindwa na kupelekwa rumande hadi kesi hiyo itakapotajwa tena siku iliyopangwa.
Hawa watoto noma kama ni wapewe adhabu kali
Maswali ya kujiuliza:
Alibakwa saa 9.00 alasiri na wanafunzi 8 kwa zamu wapi? Je alikuwa amelewa au alikuwa timamu, Kama alikuwa hajalewa huyo inawezakana alitongozwa na mmoja wa wanafunzi na inawezekana ana tabia ya umalaya. Katika mazingira ya kawaiada mwalimu anayejitambua kuwa yeye ni mwalimu hawezi kubakwa na wanafunzi kwa staili hiyo, huyo inaonesha alikuwa na ukaribu wa aina fulani ambao sio wa kiulimu na wanafunzi hao. Achunguzwe vizuri huyo mwalimu atakuwa amesababisha yeye.