Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Haya makubwa, maana ya kudai haki inaeleweka, lakini hii ya kumchapa mwalimu mkuu kwa sababu ya kukataa kuvujisha mtihani ni jambo lisilokubalika hata kidogo, na labda siku za nyuma jambo hilo lilizoeleka, utafiti unatakiwa kufanywa kupata chanzo kamili.
Bofya hapa kupata habari zaidi: HOTNEWS....WANAFUNZI WAMCHARAZA BAKORA MKUU WA SHULE BAADA YA KUGOMA KUVUJISHA PEPA....
Bofya hapa kupata habari zaidi: HOTNEWS....WANAFUNZI WAMCHARAZA BAKORA MKUU WA SHULE BAADA YA KUGOMA KUVUJISHA PEPA....