data JF-Expert Member Apr 9, 2011 26,138 22,709 Feb 17, 2012 #1 Taifa hili laenda wapi jaman.. Imetokea huko Bagamoyo.. Source-@ TBC fm. Magazeti.
iron2012 JF-Expert Member Feb 16, 2012 500 206 Feb 17, 2012 #3 ni vizuri kutoa habari kamili ili kujua nini hasa kilipelekea kubaka mkuu
M massau Member Feb 5, 2012 8 0 Feb 17, 2012 #4 Taifa tunalipoteza ss wenyewe kwani walimu wengi hawajiheshimu katika mavazi waingiapo darasani hasa wa kike,
Taifa tunalipoteza ss wenyewe kwani walimu wengi hawajiheshimu katika mavazi waingiapo darasani hasa wa kike,
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,701 Feb 17, 2012 #5 iron2012 said: ni vizuri kutoa habari kamili ili kujua nini hasa kilipelekea kubaka mkuu Click to expand... Nimeisoma katika gazeti mwananchi, haijaelezwa kisa ni nini ila wanafunzi 8 wamembaka mwalimu wao kwa zamu na kesi yao ndio ipo mahakamani.
iron2012 said: ni vizuri kutoa habari kamili ili kujua nini hasa kilipelekea kubaka mkuu Click to expand... Nimeisoma katika gazeti mwananchi, haijaelezwa kisa ni nini ila wanafunzi 8 wamembaka mwalimu wao kwa zamu na kesi yao ndio ipo mahakamani.