Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Tatizo liko wapi, na mimi nimetumia fursa hiyohiyo inayotolewa na JF kuihoji JF. Kwanini isihojiwe? Kuna ubaya au imewekewa kinga?
Hayo masharti yaliyowekwa hayahusiani na hoja yangu, lakini hata kama ndiyo hivyo hayo masharti siyo msahafu, yanaweza kubadilishwa wakati wowote.
At one time unapondea JF, mara unasema unatumia uhuru wako uliopewa hapa JF! grrrrrr, watu wengine bwana kwa unafiki!