wanafunzi wa vyuo vikuu (wanawake)

Tatizo la wadada zetu ni mavazi wanaovaa yakuonesha maungo nje, pili wanawake wengi uwezo wao ni mdogo wakufikilia na na wasiwasi walifikanje huko ni maana unviversty entry watakuwa walichakachuliwa na wahusuka. kama wewe unajua umeenda kusoma kwanini ufanye hivyo.
 
Kwa upande wangu nadhani mambo ya kufelishwa eti umemkataa lecturer? inaweza kuwepo lakini kwa wanawake ambao hawana msimamo, wewe kama umefanya kazi yako vizuri na majibu ni yenyewe atakufelishaje? vyombo vya kutetea wanafunzi si vipo? Labda na wewe ukiwa na hako ka roho ka uzinzi utafanya, lakini kama kweli unauchukia uzinzi mie nadhani haki itatendeka hata Mungu atakuwa upande wako.
Kwa wale wanaojilengesha na wenyewe wapo wanaotaka vitu vya mtelemko, na hii tabia inaendelea hata huko makazini watu kama hao wapo katika jamii zetu. Kwake kutoa rushwa ya ngono haoni tatizo kabisa. Kama dada atakuwa na msimamo thabiti hakika hawezi kufelishwa kabisa!! Kwani huyo lecturer naye haogopi kufukuzwa kazi?

kaka/ dada, lecturer akipania anaweza kufanya lolote hata kama umefanya vizuri,,hakosi hata kukwambia course work yako ni incomplete labda inamiss either assign au test,,,na hilo anakwambia last mnt!!ambapo mpaka umpelekee vithibitisho umekoma!ingawa wengi pia wanajilengesha ili kupata favour.
 
kaka/ dada, lecturer akipania anaweza kufanya lolote hata kama umefanya vizuri,,hakosi hata kukwambia course work yako ni incomplete labda inamiss either assign au test,,,na hilo anakwambia last mnt!!ambapo mpaka umpelekee vithibitisho umekoma!ingawa wengi pia wanajilengesha ili kupata favour.

Uongo na unafiki mkubwa! Nimezoea kuwasikia wazungu na feminist groups wakitoa naita 'matusi' kwa jinsia ya kiume! Na hawa waingereza, ambao kwao hadi leo wanawake ni viumbe duni mbele ya wanaume inapokuja kwa mishahara! Tena wamepata hawa wenye kupenda vipesa vidogo vya utafiti, ambao hutafuta data za kuweza kubaini hoja ya mtafiti. Ninawachukia kweli.

Kwa ninin nasema hivi? Nina uzoefu wa miaka mingi karibu miongo 3 sasa katika kufundisha chuo kikuu. Kesi tulizowahi kupata za wahadhiri kunyemelea wanafunzi ni chache sana, kuna miaka inapita bila kusikia, na hii ni licha ya kuwa na taasisi mahsusi kuangalia hili swala kupitia kwa serikali ya wanafunzi, ofisi za ushauri za wananfunzi, na utawala kuanzia idara/faculty/School, na ofisi maalumu ya 'gender relations'. Huwezi ukaanza kugeneralize kiasi hiki. Kama kweli wapo wachafu, wamewahi kutolewa nakumbuka wanne. lakinni katika zaidi ya wahadhi 1200 naona si haki kabisa kutoa matamshi mazito namna hiyo.

Inawezekana kabisa kuwepo uhusiano wa kimapenzi wa mhadhiri na mwanafunzi, tena wanaishia kuoana. Lakini kwamba mtu anafelishwa kwa ajili amekataa kuwa mpenzi!!! Uongo mtupu, ajitokeze! Kuna kasichana fulani kalifeli, kakashitaki(appeal) na madai yake ikawa alimnyima Mwl unyumba. Alimtaja mwalimu. Mwalimu yule karibu anywe sumu kwa ajili ya aibu. Lakini alipoitwa kwenye kikao, akaambiwa amtambue yule Mwl kwenye kile kikao. Hakuweza, hakuwa anamjua yule mwalimu. Hakuwahi kuingia kwenye kipindi chake. Stupid excuse za wasichana wavivu, wako tayari kujiabisha ili wapewe digriii, haiwezekani. Inama soma, FANYA KAZI! Mitihani ya Chuo Kikuu hutuzwa kwa miaka mitano , na kama unadhani umefelishwa unaweza uka-appeal na mtihani wako utasahihishwa na mtu mwingine from anywhere. Msiharibu taaluma za watu.
 
hii imekuwepo miaka mingi sana labda serikali ndio iingilie nchi nyingi africa game ndio hii, na hawagusiki ndio maana wanaendelea hadi leo hii
 
Swala la lecturers kufanya mapenzi na wanachuo ni la kitamaduni zaidi kuliko kitaaluma. Sheria inaruhusu mwanachuo wa kike kuolewa na lecturer wake au kinyume chake wakati wowote ule ndani au baada ya masomo. Suala ni je, " conflict of interest" ya lecturer itakuwaje endapo ikatokea ndani ya darasa lake mkewe ndo miongoni mwa waliofeli mtihani? Uzoefu unaonesha lecturers wenye nia thabiti ya kuoa hukwepa kupata courses za kufundisha kwenye madarasa hayo ilhali wengine hutumia upenyo huo kuimarisha mapenzi yao. Kwa maoni yangu, suala hili si rahisi kama tunavyowaza wengi wetu maana lecturers ni binadamu kama wengine. Busara na hekima ndo vitu pekee vinavyohitajika zaidi ya hisia zetu.
 
chanzo kikubwa ni waalimu ndio wanawatongoza wasichana hawa. wakati nasoma nakumbuka lecturer mmoja alikuwa na msichana kila kozi aliyofundisha kwa kila mwaka. i.e 1st yr, 2nd yr na 3rd yr
 
mahusiano ya kimapenzi hayana mpaka kama wameamua na wanapendana; maana vyuo vikuu huwezi kufaulu kwa kuliwa na Lecturer! tena mmoja kuna taraibu za assessment labda kwa vyuo bandia, maana hasomi somo moja la huyo mkwale wake ninachoona hapa ni maadili ambayo katika Jamii yetu imeshuka sana ata madrasa waalimu wanatuharibia wadogo zetu vile vile ukienda mitaani hivyo hivyo maadili zero.
 
nimekuwa nikisikilza kimasomaso bbc kuwa lecturers wa vyuo huwataka kimapenzi mabinti wasomao vyuoni na kama wakikataa wanawafelisha . Pia kuna kina dada ambao hujilengesha moja kwa moja kwa lectures ili kuwapata kimapenzi wawezeshwe kufaulu mitihani yao.
Imeniuma sana na kuona wakina dada wanadhalilishwa na kujidhalilisha katika hili
je wadau mnasemaje kuhusu hili?

kama anajipeleka mwenyewe sidhani kama kuna udhalilishaji hapo
 
Nyie kwa kulalamika,loh. Kila m2 anakula kwa urefu wa kamba yake. Waache wale kukuz.... mbona sekondar matcha wanalamba madent, ni k2 cha kawaida!

KWELI KILA MBUZI ANAKULA USAWA WA KAMBA YAKE HATA makamba si alikula VIDENTI ALIPOKUWA MWALIMU KULE BUMBULI
 
Madenti wa vyuo ni vicheche tu hwana lolote, uchumi wao mbovu na hawasomi kabisaaaa, wao wanaendekeza starehe wakati hawana hela, waache wamegwe tu na hao malecturer kwani kwanza hututega na pili akili zao hazina akili kabisa hufaulu kwa favor tu, kama si hivyo basi wangekatwa vichwa kibao.
 
Suala la kutakana kingono sio vyuoni tu hata makazini.
Kujilengesha unamaanisha nini? Nafikiri unapopenda halafu unashindwa kuvumilia ndio unaanza kujilengesha.
Wakati unamtaka mrs kimbweka hukuanza kujilengesha wewe kweli?
Ni vibaya kama hao madenti tayari wapo kwenye mahusiano halafu bado wanadate na hao walimu.
Ila kupenda sio dhambi.
 
Suala la kutakana kingono sio vyuoni tu hata makazini.
Kujilengesha unamaanisha nini? Nafikiri unapopenda halafu unashindwa kuvumilia ndio unaanza kujilengesha.
Wakati unamtaka mrs kimbweka hukuanza kujilengesha wewe kweli?
Ni vibaya kama hao madenti tayari wapo kwenye mahusiano halafu bado wanadate na hao walimu.
Ila kupenda sio dhambi.

Hapana tulilengeshana :whoo:
 
Nimekuwa nikisikilza kimasomaso BBC kuwa lecturers wa vyuo huwataka kimapenzi mabinti wasomao vyuoni na kama wakikataa wanawafelisha . Pia kuna kina dada ambao hujilengesha moja kwa moja kwa lectures ili kuwapata kimapenzi wawezeshwe kufaulu mitihani yao.
Imeniuma sana na kuona wakina dada wanadhalilishwa na kujidhalilisha katika hili
Je Wadau mnasemaje kuhusu hili?
Digrii chupi... ipo kwa sana tu... ndo maana wakufunzi wafwa sana!!!
 
Well niseme tu kwamba kwanza hiki kipindi nilikisikiliza kama Kimbweka

tatizo langu ni kwamba walivokipresent ni kama vile story ya upande mmoja ambayo imehukumu wakufunzi wa vyuo vikuu kwamba wanawadhalilisha wanafunzi wa kike kingono, na kwamba wasipowakubalia matakwa yao, wanawafelisha

kumbe hii hoja imesukumwa na bwana mmoja ana blogu yake ya 'kurekebisha maadili vyuoni" na anapatikana hapa MTANDAO WA KUBORESHA MAADILI TANZANIA: MFUMO WA MITIHANI YA VYUO VIKUU HAUTOI NAFASI YA KUWATAMBUA WENYE VIPAJI KWA HAKI

kilichonishangaza ni kwamba wanafunzi wenyewe waliohojiwa, walidai kwamba huwa wanajipeleka wenyewe kupata favour kwa sababu ya masomo kuwa magumu, au kwa sababu za kiuchumi, au ile kuonekana kwamba na yeye anatoka na lecturer

Kama alivosema mchangiaji mmoja hapo juu, cases za kufukuzwa mkufunzi kwa sababu ya hili linaloonekana 'tatizo kubwa' ni chache sana kulinganisha na idadi ya wakufunzi...so its unfair kuipresent hii issue katika mtazamo huo...hata ukiangalia kwenye blogu ya hao wanaojiita wanaharakati, wana cases chache...moja ya mtwara na nyingine ya SAUT nadhani.....

tujiulize kuna vyuo vikuu vingapi nchii hii?

Tatizo la BBC nao wamelichukulia kiushabiki zaidi......maana hata mtu mkubwa zaidi aliyehoiiwa ni dean of students wa UDSM...na akasema hajui kama kuna tatizo hilo maana angekuwa ameelezwa na kuchukua hatua stahiki!
 
Yule Makamba aliemmimbisha akiwa teacher alijiilengesha au Makamba ndio alimdharirisha? Ana majibu mazuri hapo Makamba hapo, maana hao ndo wanafika vyuoni bidae!
 
Back
Top Bottom