Kweli chama cha CHADEMA kinazidi kujiwekea hazina ya wasomi hapa nchini na kinakubalika kwa asilimia kubwa sana kwa wanafunzi wa vyuo vikuu.
Hivi karibuni wanafunzi wanachama na wakereketwa wa vyuo vikuu vya hapa mjini Iringa kwa maana ya Chuo cha Tumaini,Mkwawa na RUCO waliunda shirikisho la wanafunzi wanachama na wakereketwa wa CHADEMA.
Shirikisho hili linaitwa IRINGA UNIVERSITIES AND COLLEGES CHADEMA NETWORK lipo chini ya uongozi wa CDM wilaya ya Iringa Mjini. Wana mikakati mingi kukuza na kukijenga chama hapa Iringa kwa kueneza sera na kuwaelimisha vijana wenzao.
Pia wanataka kuhakikisha wanashirikiana na mbunge Mh.P.Msigwa kukieneza chama na kufungua matawi vijijini.Hivi karibuni kutakuwa wataandaa kongamano la katiba ambalo litaambatana na kulizindua rasmi shirikisho hili ambapo watawaalika viongozi wa chama wa kitaifa kwa ajili ya kongamano hilo.
Tafadhali naomba kuwafahamisha wana CDM walioko humu ambao mlikuwa hana taarifa hizi.
CHADEMA INAJIVUNIA NGUVU YA UMMA :rain:
Hivi karibuni wanafunzi wanachama na wakereketwa wa vyuo vikuu vya hapa mjini Iringa kwa maana ya Chuo cha Tumaini,Mkwawa na RUCO waliunda shirikisho la wanafunzi wanachama na wakereketwa wa CHADEMA.
Shirikisho hili linaitwa IRINGA UNIVERSITIES AND COLLEGES CHADEMA NETWORK lipo chini ya uongozi wa CDM wilaya ya Iringa Mjini. Wana mikakati mingi kukuza na kukijenga chama hapa Iringa kwa kueneza sera na kuwaelimisha vijana wenzao.
Pia wanataka kuhakikisha wanashirikiana na mbunge Mh.P.Msigwa kukieneza chama na kufungua matawi vijijini.Hivi karibuni kutakuwa wataandaa kongamano la katiba ambalo litaambatana na kulizindua rasmi shirikisho hili ambapo watawaalika viongozi wa chama wa kitaifa kwa ajili ya kongamano hilo.
Tafadhali naomba kuwafahamisha wana CDM walioko humu ambao mlikuwa hana taarifa hizi.
CHADEMA INAJIVUNIA NGUVU YA UMMA :rain: