mwanakijiji uko juu sana na kuunga mkono kabisa maana mimi hii nimeifanya pale nilipokuwa SUA mpaka leo hii ninavyo sema niliweza kupata kiwanja na kuanza kujenga nyumba kwa biashara ya kuchoma tofali lakini tatizo wanafunzi wengi hawataki kuhangaika ila wanategemea wazazi wao na mbaya sana nipale wanawake wanapofanya uchangudoa mapaka hata huku ughaibuni wanatuzalilisha sana yani wanakosa akili za nini wafanye ilikujipatia kipata kwa ajili ya starehe. tuzidi kuwasaidia hawa dada zetu maana hawajui kama HIV ipo hata ughaibuni wanajipa matumaini hakuna HIV huku bali Afrika. sijui kama kuna ukweli wowote.