Wanafunzi wa udsm wana-raha!!

Wewe rudi tu!!kama kwa level ya master...utajuta kwa nini umelipa fedha zako!!na master ilivyokuwa fupi!!nakuhakikishi mkubwa kwnye semester 4 utasoma semester 2 tu!

mr mzumbe mbona watu wana'graduate mastaz had PhD?vitisho vya nini
 
ninavyojua ni kuwa vyuo vyooooooooote, ukitoa udom na vile ambavyo ni ''purely'' private vilikuwa faculties na departments za udsm, tuliwatengenezea foundation afu leo mnajifanya mnajua,sasa subirini muone apolo hospital(medical university) ardhi, kilimo na mengine yanakuja.so sikio halizidi kichwa.
 
ha ha ha ha ha ha ha, vlabu vya chintane!
Kaka unatisha watoto na muhuri wa incredible s hapo via tapatalk, hawa washazoea kupigania sifa za chuo, wamesahau elimu ni uwezo na sio cheti,, yaani katika pilika pilika za maisha niliingia university moja hivi huko kwa dunia ya kwanza, nikasema bongo tunacheza hakuna shule, yaaani hiyo research centre inavyowaka na ma mitambo kibao juu sielewi ni minara ya simu au ndo satelite
za kutembelea mwezini, madogo nawaombea mje kupata kazi nzuri wote zitazowafanya mtembee muione dunia ndo mtajua kama mzumbe, udsm,udom ni chuo au vilabu vya pombe za kienyeji..

sent from my nokia torch chinese version via chumchong
 
Universities ranking ya mwaka huu. UDSM ni ya kwanza kwa ubora tanzania, 36 africa, MUHAS ya pili kwa ubora tz, 42 afric, SUA ya 3 tz ya 46 africa. Mzumbe, Udom hazipo kabisa. Tafuta daily news la jana.09/01/2012. Ukurasa wa pili.
 
ya nini kubishana sana jamani? tukutane kazini...waajiri wanajua vizuri kuwa watu toka chuo gani ni wazuri katika fani fulani!! au pia tukutane kwenye ujasiliamali tuone biashara za akina nani zinaenda vizuri... but still katika ranking ya vyuo bora vya africa ud kinabaki kuwa cha kwanza tanzania na hamuwezi kubadili hilo kwa sasa!! so ongezeni juhudi mpande kwenye ranking then ndo tuwe na hii discussion!!! ila kwa sasa ni sawa na kufananisha matombo sekondari ya morogoro na mzumbe kwa mfano...

juu ya migomo siungi mkono pia!! ila ninaloamini ni kuwa mtu mzima hagomi bila sababu!! na kumbukeni kuwa adha ya mwenzio huwezi kuijua mpaka yatakapokukuta na wewe, kwa maana nyingine usilolijua ni sawa na usiku wa giza... la muhimu ni serikali, uongozi wa chuo na wanafunzi kukaa kuangalia wapi mambo yameenda kombo na yarekebishwe....
 
[ha ha ha]kwanza mulize hiyo 1 ya 3 ya kombi gani mpaka mtu akasome kilimo, kwanza agriculture ishafutwa.

Mkuu unaweza kweli ukawa unadefend chuo ulichosoma ila si busara kuharibu sifa ya vyuo vingine,ongea vitu ukiwa na fact si ushabiki wa mtaani bwana,una fact kwamba kilimo kimefutwa,dont be a fool
 
We Mr.Mzumbe ukitaka kujua watoto wa Udsm ni noma ebu google NBAA then tazama mwaka 2010 na 2011 ni chuo gani kimetoa wanafunzi wengi wenye CPA..KILAZA WEWE 1.udsm (61) 2. Mzumbe(18)
Wee ndo kilaza. hao 61 wanatoka kwenye chuo chenye wanachuo 18000 ambayo ni 0.33% wakati wale 18 wanatoka kwenye chuo chenye wanachuo 5000 ambayo ni 0.36%, je huoni kuwa Mzumbe ndo imefanya vizuri kwenye NBAA? au kwasababu hesabu zinakusumbua.
 
[ha ha ha]kwanza mulize hiyo 1 ya 3 ya kombi gani mpaka mtu akasome kilimo, kwanza agriculture ishafutwa.

Mkuu unaweza kweli ukawa unadefend chuo ulichosoma ila si busara kuharibu sifa ya vyuo vingine,ongea vitu ukiwa na fact si ushabiki wa mtaani bwana,una fact kwamba kilimo kimefutwa,dont be a fool
Achana nae huyo! watu wanaodharau kozi zingine ni kwasababu hawana exposure ndugu. Na hao ni wengi sana ktk nchi hii ndo maana ufinyu wa mawazo huu hauishi. Angalia mfano huu: Wakati nikiwa Kibaha kulikuwa na combi tatu PCB, PCM na CBA, sie tuliokuwa tunasoma PCB na PCM tuliwadharau sana watu wa CBA kutokana na kukosa exposure kwetu lakini sasa huwezi kuona tofauti ktk misingi ya combi, kuna waliokuwa CBA lakini sasa wana maisha mazuri mno na kuna waliosoma PCM na PCB wanafrustration maana wakiwaona waliokuwa CBA lakini wako juu wanachanganyikiwa.
 
I'm afraid you are wrong! Come up with a stronger argument or atleast support your argument with evidence.
Tuache kuongea ushabiki bwana, wnafunzi wote wenye ndoto za kuwa wataalam wa biashara na public admnistration
wanakimbilia Mzumbe, wale wenye ndoto za sayansi za afya wanakimbilia MUHAS, wenye ndoto za utaalam wa kilimo wanakimbilia SUA, wenye ndoto za utaalam wa Education, sheria, Engineering na lugha wanakimbilia UDSM.
 
[Biera] We Mr.Mzumbe ukitaka kujua watoto wa Udsm ni noma ebu google NBAA then tazama mwaka 2010 na 2011 ni chuo gani kimetoa wanafunzi wengi wenye CPA..KILAZA WEWE 1.udsm (61) 2. Mzumbe(18)

dah mkuu umenichekesha sana wewe ni wale wanaosema kilo ya mawe ni nzito kuliko kilo ya pamba,coz umekariri 61 out of how many? na 18 out of how many?mi najua course za ud zina mtu shazi hao 61 ni 0.0000x ya course zenu hizo zenye watu kibao,unawatia aibu watoto wa ud wenzio,fool
 
Wanafunzi wa sasa waoga sana yani me ningekuwa mwanafunzi leo ningelipua makazi ya mkandara hapo,na kuna kipindi ticha flani hapo alikua ananizingua na nilipanga nilipue utawala sema tulienda nae sawa,hawa washenzi dawa yao ni kulipua yani mnashindwa kujioganaiz wanafunzi hata wa5 mkanunua guruneti na kulipua utawala? Kama mbwai mbwai tu hii nchi mbele haitotawalika biliv dat I'm tellin y'all buddiez
 
Wee ndo kilaza. hao 61 wanatoka kwenye chuo chenye wanachuo 18000 ambayo ni 0.33% wakati wale 18 wanatoka kwenye chuo chenye wanachuo 5000 ambayo ni 0.36%, je huoni kuwa Mzumbe ndo imefanya vizuri kwenye NBAA? au kwasababu hesabu zinakusumbua.

we kilaza kweli,hesabu zinisumbue mimi? Nenda Necta,fcm(currently udbs) na maneno(NBAA) atakwambia...KILAZA WEWE
 
[Biera] We Mr.Mzumbe ukitaka kujua watoto wa Udsm ni noma ebu google NBAA then tazama mwaka 2010 na 2011 ni chuo gani kimetoa wanafunzi wengi wenye CPA..KILAZA WEWE 1.udsm (61) 2. Mzumbe(18)

dah mkuu umenichekesha sana wewe ni wale wanaosema kilo ya mawe ni nzito kuliko kilo ya pamba,coz umekariri 61 out of how many? na 18 out of how many?mi najua course za ud zina mtu shazi hao 61 ni 0.0000x ya course zenu hizo zenye watu kibao,unawatia aibu watoto wa ud wenzio,fool

so BAF kuna madarasa mawili na B.com Accounting kuna darasa moja la wa2 mia,fool Mama yako
 
Mnasahau vyuo kama Kampala International University (KIU) chuo ambacho kinakua kwa kasi sanaaa na aim yao nikukifanya kua the Havard of Africa..?endeleen tu kushindana mara udsm ,,mzumbee,,,!vyuo vingne kama udsm ni jina tuu
 
Hahaha!!!!
Kweli UDSM ni vilaza ukilinganisha na Havard,Oxford nk!
Lakini takwimu za mwaka huu zinaonesha UDSM kikiwa chuo cha kwanza cha ubora Tanzania;huku mzumbe ikiwa chini ya UDOM!!!
 
Wanafunzi wa sasa waoga sana yani me ningekuwa mwanafunzi leo ningelipua makazi ya mkandara hapo,na kuna kipindi ticha flani hapo alikua ananizingua na nilipanga nilipue uta ningelipua makazi ya mkandaranilipanga nilipue utwala sema tulienda nae sawa,hawa washenzi dawa yao ni kulipua yani mnashindwa kujioganaiz wanafunzi hata wa5 mkanunua guruneti na kulipua utawala? Kama mbwai mbwai tu hii nchi mbele haitotawalika biliv dat I'm tellin y'all buddiez
Siamini kama kulipua utawala ndio mawazo sahihi hata kidogo!!!
 
Hahaha!!!!
Kweli UDSM ni vilaza ukilinganisha na Havard,Oxford nk!
Lakini takwimu za mwaka huu zinaonesha UDSM kikiwa chuo cha kwanza cha ubora Tanzania;huku mzumbe ikiwa chini ya UDOM!!!
 
Back
Top Bottom