Wanafunzi wa udsm wana-raha!!

Huyo Mr.Mzumbe kiswahili chenyewe kinamshinda!anatudhihirishia ukilaza wake!hakuna haja ya kubishana nae,ila ukweli anaujua na ukweli wenyewe ni kwamba Udsm inachukua na inatoa the cream of Nation.

ofcourse watendaji wote wanaoendesha hii nchi wanatoka udsm, no wonder nchi haina maendeleo, ufisadi umekithiri, so wat can u expect from udsm products
 
Huwezi kuwa serious ukaenda kusoma chuo kingine Tanzania may be kama kozi hiyo haitolewi hapo, haya mengine maneno ya mkosaji.
 
kumbe senetor anasomea degree in demonstration and riots management, pale udsm. Saf ,kijana naona matunda yko.
 
kumbe senetor anasomea degree in demonstration and riots management, pale udsm. Saf ,kijana naona matunda yko.

Eti nae anajiita FRESH FROM FORM SIX!!na degree ya RIOT IN PUBLIC ADMINISTRATION.
 
kama vilaza wanakuwa enrolled UDSM, Je vyuo vingine watakuwa wana sifa gani? kwani waliofaulu vizuri wote sekondari wako UDSM na wale walioshindwa ku-compete UDSM ndiyo wako huko kwingine hapa TZ.

I'm afraid you are wrong! Come up with a stronger argument or atleast support your argument with evidence.
 
vichwa wako udsm ariifu huko kwingine mnajiona vichwa kwasababu mzungukwa na ma-vilaza ya kufa mtu.
 
Kama tulioko udsm ni vilaza,bac vyuo vingne kuna vilaza square..mana vipanga wote tunaopga fresh form 6 tuko udsm, na wachache wako muhimbili..huko kwingne ni makapi tu.

Mnasoma saa ngapi ninyi. Tuulizeni sisi tunaowafanyia interviews. Mnatia aibu taifa hili. Bora hata msingeenda huko vyuoni. Tatizo mechanganya maisha na masomo. Mwanafunzi unafikiria kunua gari, wanawake kazi ni kujiza tuuuuu kila kitu mchakachuo. I hate it.
 
University of Dar es Salaam haina walimu waliotoka vyuo vingine vya ndani, lakini vyuo vyote vya ndani vina walimu waliotoka UDSM. Mia, au Nalog off.

Wewe kweli unaongea kwa Masaburi,..!!yaani hpo ni sawa unasema viongozi wa serikali wengi wametoka UDSM then unajipongoza!!viongozi wenyewe wote wazee sasa ulitaka watoke wapi??UDOM??nawakati chuo kilikuwa UDSM pekee!!ha ha ha ha.....so lazima walimu watoke UDSM .....
 
Educated Barbarians ndivyo anavyowaita watu ambao wako shule lakini mawazo yao ni taka taka. Shivji Issa"intellectuals at the hill"
 
Mwenye 1 ya 3 hata siku moja hawezi kufikiria kusoma Agriculture hasa kwenye ufisadi huu tulionao!!!!
 
Mnaboa na haya mabishano yasio na msingi ... Wengine tuko mbele huku tumeona mavyuo ya maana yenye labs zilizokwenda shule kuliko UDSM ambayo kama ukiibeba na kuileta huku haina tofauti na high school. .. mi mdogo wangu wa kike kipindi kile watu wanafanya mtihani ili kuingia chuo alipata UDSM na UDOM... Alipiga chini UDSM na kukimbilia UDOM ... So ni mapenzi ya mtu asome wapi

Sent from my HTC Incredible S using Tapatalk

Kaka unatisha watoto na muhuri wa incredible s hapo via tapatalk, hawa washazoea kupigania sifa za chuo, wamesahau elimu ni uwezo na sio cheti,, yaani katika pilika pilika za maisha niliingia university moja hivi huko kwa dunia ya kwanza, nikasema bongo tunacheza hakuna shule, yaaani hiyo research centre inavyowaka na ma mitambo kibao juu sielewi ni minara ya simu au ndo satelite
za kutembelea mwezini, madogo nawaombea mje kupata kazi nzuri wote zitazowafanya mtembee muione dunia ndo mtajua kama mzumbe, udsm,udom ni chuo au vilabu vya pombe za kienyeji..

sent from my nokia torch chinese version via chumchong
 
We Mr.Mzumbe ukitaka kujua watoto wa Udsm ni noma ebu google NBAA then tazama mwaka 2010 na 2011 ni chuo gani kimetoa wanafunzi wengi wenye CPA..KILAZA WEWE 1.udsm (61) 2. Mzumbe(18)
 
Kwa mfano nina div 1 ya 3 nataka nisome masomo ya Agriculture unadhani nitaomba UDSM!?

hakuna kipanga anaepga fresh namna hyo afu afikirie kusoma masomo ya kijinga ka hayo.
 
hakuna kipanga anaepga fresh namna hyo afu afikirie kusoma masomo ya kijinga ka hayo.

Ebu tupe update ya MGOMO!!!vipi Test Ya leo??oooh....kwa jinsi ninavyokujua lazima upige 360 degree coz kutwa unawaza migomo tuuuuuu........!
 
someni..muache tabia ya kubishania vyuo instead masomo..makes no sense!..kama unataka chuo bora try havard
 
eti una div 1 ya 3 unasoma kilimo we jamaa unatatizo sio bure..ebu fanya utafuti hapo sua utagundua kuna jamaa wenye ushindi mwembambaaaaa!
 
Kugoma ndo kawaida bongo ili upate chako ila ufuate taratibu.hata wewe ungekuwepo ungegoma tu.hakuna anayependa ladha za migomo.Walimu hapa ni mahili sana,very competence na si kweli watu wanasoma miezi 2 mwaka mzima,hizo ni siasa za mtoa mada mana hana ushahidi na ratiba za chuo hzijui ila una taarifa tu za mipango,hata kama ulisoma hapa ni enzi hizo,mambo yanabadilika kila mwaka na watu wa kizazi hiki ni tofauti na maisha ya kibepari ya leo ni tofauti na ujamaa,sawa
 
Una uhakika wanaofaulu wote wanaenda UDSM au claim!? Fanya research kidogo sasa hivi ni nani anaye enroll wanafunzi kwenda vyuo.

thats politics bana, kwani hujui ud ni nini,the best and the cream is olways at the the top and that is ''the hill''kiukweli vilaza walikuwa hawaji ud ila now mpo uku na ndio mnaoleta shida................
 
nani ana 1 ya 3 anataka aende uko kwngne, tunajua mkishakataliwa mhimbili ndo mnajifanya mnataka kilimo..........
Mwenye 1 ya 3 hata siku moja hawezi kufikiria kusoma Agriculture hasa kwenye ufisadi huu tulionao!!!!
 
Back
Top Bottom