Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), wamegoma kuingia madarasani na kuandamana hadi Ofisi ya Waziri Mkuu mjini hapa, kupeleka malalamiko yao likiwamo la Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutotimiza ahadi ya kuwapatia kompyuta.
Licha ya mambo mengine, wanafunzi hao wa Chuo cha Teknolojia ya Habari, walisema Pinda aliwaahidi kumnunulia kila mwanafunzi kompyuta ndogo (laptop) kwa ajili ya kumsaidia kwenye masomo yake, lakini hadi jana ilikuwa haijatimizwa.
Licha ya mambo mengine, wanafunzi hao wa Chuo cha Teknolojia ya Habari, walisema Pinda aliwaahidi kumnunulia kila mwanafunzi kompyuta ndogo (laptop) kwa ajili ya kumsaidia kwenye masomo yake, lakini hadi jana ilikuwa haijatimizwa.