LUKAZA
Senior Member
- Nov 30, 2010
- 140
- 70
Wanafuzi wa kampala international university tawin la dar salam waandamana hadi ofisi ya adiminisration na kuvunja baadhi ya milango ya vyuoni hapo baada ya kuhaidiwa kero zao kutatuliwa leo na uongozi wa chuo kuingia kapuni na kuto kwenda kuwajibu wanafuzi hao walichukuwa hasira hizo bada kuona kuwa wamedhalauliwa na uongozi wa chuo ghasia izo zimezimwa na askari wa kutuliza ghasia kwa kupiga mabomu na inasemekama katika wanafunzi hao kukimbia wengine wamemeumia
kero zao walizoziwasilisha ni
ratiba ya masomo haiyeleweki
kusomeshwa kwa mfumo wa modula
ada kutozwa kwa dola na sasa kwa vile dola imepanda kwa hiyo wanafuzi waifate dola
ukweli chuo hicho kimejaa magumashi ni wababaishaji na wapo zaidi kutafuta pesa na si kutowa elimu inayohitajika na watanzani na hali hiyo selekali wanaijuwa lakini bado wanaendelea kufumbia macho kwa vile pana michilizi yao wakubwa fulani
kero zao walizoziwasilisha ni
ratiba ya masomo haiyeleweki
kusomeshwa kwa mfumo wa modula
ada kutozwa kwa dola na sasa kwa vile dola imepanda kwa hiyo wanafuzi waifate dola
ukweli chuo hicho kimejaa magumashi ni wababaishaji na wapo zaidi kutafuta pesa na si kutowa elimu inayohitajika na watanzani na hali hiyo selekali wanaijuwa lakini bado wanaendelea kufumbia macho kwa vile pana michilizi yao wakubwa fulani