VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
Hivi jiulize huyo msichana aliitwa kupeleka usiku huo hiyo barua au alitaka kumkomesha prof wa watu?
yote yawezekana sema marehemu hana haki
ila na walimu hasa wa elimu ya juu wanapenda sana vya kunyea kaaaaaaaaaaaaaaaaa
wewe mtu anagonga mlango karibu mpaka ndani