muke ya muyahudi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 399
- 179
Wadau nimeona ITV leo mkurugenzi wa NACTE katangaza wanafunzi wote walioomba mkopo mwaka huu wamepata, lakini nina ndugu yangu hajapata kabisa anahangaika ku-appeal sasa hivi, yeyote mwenye taarifa zaidi na jinsi ya kupata msaada wa haraka, yupo chuo cha Makumira Arusha, na Je kuna wengine waliokosa au ni yeye tuu? Ujanja jamani atumie njia gani asaidiwe?
Ahsanteni
Ahsanteni