Wanafunzi vyuo vikuu waishukia UVCCM.

samirnasri

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
1,388
213
Mawaziri wa mikopo katika serikali za wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu jana waliitisha kikao na kuutaka umoja wa vijana wa ccm kuacha kuingilia utendaji wa bodi ya mikopo na kutoa ushauri usio na tija wa kutaka bodi hiyo ivunjwe bila kushauri hatua mbadala. Tamko hilo lilikua na jibu kwa UVCCM ambao kupitia mjumbe wake zamaradi kawawa uliitaka serikali ya chama cha mapinduzi kuivunja bodi ya mikopo kwa kua imeshindwa kutimiza majukumu yake. Wakiongea na waandishi wa habari mawaziri hao wa mikopo waliionya uvccm iache kujitafutia umaarufu kwa kua bodi ya mikopo sio mali ya uvccm. Walisema ushauri uliotakiwa kutolewa ni wa kuboresha bodi hiyo. Aidha mawazili hao wa mikopo wameiomba serikali kuongeza pesa za kujikimu na malazi kutoka sh. 5,000 hadi sh 10,000 kutokana na kuongezeka kwa garama za maisha. Source: itv news sa mbili usiku jana. .
 
Mawaziri wa mikopo katika serikali za wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu jana waliitisha kikao na kuutaka umoja wa vijana wa ccm kuacha kuingilia utendaji wa bodi ya mikopo na kutoa ushauri usio na tija wa kutaka bodi hiyo ivunjwe bila kushauri hatua mbadala. Tamko hilo lilikua na jibu kwa UVCCM ambao kupitia mjumbe wake zamaradi kawawa uliitaka serikali ya chama cha mapinduzi kuivunja bodi ya mikopo kwa kua imeshindwa kutimiza majukumu yake. Wakiongea na waandishi wa habari mawaziri hao wa mikopo waliionya uvccm iache kujitafutia umaarufu kwa kua bodi ya mikopo sio mali ya uvccm. Walisema ushauri uliotakiwa kutolewa ni wa kuboresha bodi hiyo. Aidha mawazili hao wa mikopo wameiomba serikali kuongeza pesa za kujikimu na malazi kutoka sh. 5,000 hadi sh 10,000 kutokana na kuongezeka kwa garama za maisha. Source: itv news sa mbili usiku jana. .

Kisomi zaidi.

Safi sana. Wanajitafutia umaarufu tu hao. hawana lolote.

Wakiitisha maandamano tuyapotezee. waandamane wao watoto wa mafisadi
 
Si wawafuate huko kwenye vikao vyao na wawatie adabu?

Hawa dawa yao ni KUWALIA maharage na MAYAI na kwenda pale kuachia GAS hadi wakimbie wenyewe.

Sidhani kwa sababu hiyo kama wataitwa FFU.

Ingelikuwa UK, basi jamaa wangelienda na kuwavulia kabisa nguo na kuelekeza makalio yao kwao kabla ya kuachia BOMBA la nguvu ili kuwatoa ndani NGUCHIRO hao.

Inabidi kuanza kutumia mbinu za kupigana za Wa-Asia yaani unamshinda mtu bila kutumia neno wala kumpiga.

Wakiitisha Maandamano, tupokee hela na twenda ila tuweke vidole viwili mbele.....

0130egypt-youth.jpg


Ridhiwan anashindwa nini kwenda kumwambia baba yake AACHIE NGAZI?

Hii danganya toto waipeleke huko CCM pekee.

Huyu Bashe asijifanye ana kimbelembele sana. Kama CCM walimla nusu, Pipo Pawaa itamla mzima.

Kidumu chama cha ............enhhh!!! MASHANGINGI????
 
Nimefurahi sana kama mawaziri hawa wamejuaa ujanja wa kitoto kushupaliaa bodi wkt hawala suluhu....hoja zao zote zimepanguliwa kama.....karanga za saida....wangekuja na suluhisho zaidi ningesema hawa hawako kijiweni kupoteza muda....wangekuja na research na comparison za nchi zinazokopesha kama sisi warelebishe na wagundue makosa ya wapi.....wakumbuke baba yao alisema kosa liko busket fund...wana mix pesa za bodi na za wizara....unafikiria yeye hajui kuwa wanapewa pesa kidogo????waache siasa za kitoto haoo....kwanza uwezo nmdogo sana kama wazazi wao wangetuliaa kama fadhila rz1 ameshalipa kwa beno anataka nini???hiyo pass ni ya kubebwa sembuse angeachwa mwenyewe??watuliee huyo zaonab angetafuta shule akasome atulie!!!!
 
Mawaziri wa mikopo katika serikali za wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu jana waliitisha kikao na kuutaka umoja wa vijana wa ccm kuacha kuingilia utendaji wa bodi ya mikopo na kutoa ushauri usio na tija wa kutaka bodi hiyo ivunjwe bila kushauri hatua mbadala. Tamko hilo lilikua na jibu kwa UVCCM ambao kupitia mjumbe wake zamaradi kawawa uliitaka serikali ya chama cha mapinduzi kuivunja bodi ya mikopo kwa kua imeshindwa kutimiza majukumu yake. Wakiongea na waandishi wa habari mawaziri hao wa mikopo waliionya uvccm iache kujitafutia umaarufu kwa kua bodi ya mikopo sio mali ya uvccm. Walisema ushauri uliotakiwa kutolewa ni wa kuboresha bodi hiyo. Aidha mawazili hao wa mikopo wameiomba serikali kuongeza pesa za kujikimu na malazi kutoka sh. 5,000 hadi sh 10,000 kutokana na kuongezeka kwa garama za maisha. Source: itv news sa mbili usiku jana. .
UVCCM wanatuzuga ili watanzania waone mmbaya ni bodi ya mikopo na sio serikali ya CCM. wamwambie JK aiwezeshe bodi na sio kuitupia lawama bodi. THEY ARE TECHNICALLY PLAY POLITICAL GAME ILA WAMEKOSEA TUMESHAWASTUKIA
 
Asanteni mawaziri wa vyuo vikuu kwa kugundua unafiki na uzandiki wa hao akina ridhiwani na kundi lao wanahitaji kupata sapoti yenu watoseni kwani baba zao ndio wanasababisha nyie msome kwa shida
 
mwaka wa tabu huu kweli,wamewatuma mashehe watuvuruge maasikofu kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! wametuma uvccm kichapo kibayaaaaaaaaaaaaaaaa! wamemtuma nimrod mkono nae chaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! hapapo mpakushika mwaka wa tabu huuu kweli! Nyerere alikukataaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Yeah hii ni nzuri bora wameamua kuwashushua uvccm, wana ajenda yao ya kutafuta umaarufu but wanaamua kupitia matatizo ya wanavyuo!
 
wanaona manavyuo sasa hawaganganyiki! Sasa wanaona kutupa karata ya lawama ya BODI MIKOPO ili kuwachoka kiulaghai wanafunzi vyuo vikuu.Ni mkakati maalumu ulioundwa na ccm baba kutumia uvcc baada ya kuona umaalufu wao umeisha. Tunawashukuru mawaziri hawa kwa kuwa wameonesha kuelevuka na kuwa wapembuzi wa kauli za kinafiki. Huwezi vunja BODI ya MIKOPO wakati huna suluhu na namna ya kuiunda. Ukweli ni kuwa BODI haiwezeshwi na serikali ipasavyo na inaendeshwa na wanasiasa zaidi-ccm.
 
Inaonekana hawajui watendalo. Bodi ihiyo imeundwa na serikali ya chama chao wenyewe, sasa unaandamana ili iweje? Pia hawakufanya utafiti wa kutosha ili kuona kama wanachuo ambao ni waathirika wa suala hilo kama wako tayari kuandamana au la. Au kuna watu maalum wanaowataka wao wawekwe katika bodi hiyo kwa malengo yao mengine wanayoyajua wao? Au kuna lengo jingine la ku 'divate attention' ya wananchi katika masuala muhimu zaidi yanayojadiliwa hivi sasa? Lakini lipo tatizo jingine la msingi katika jumuiya hiyo ambalo huenda wenyewe hawalifahamu, ni kwamba hakuna kiongozi yeyote mwenye mvuto wa kiuongozi 'charismatic' na mwenye 'convincing power'. Hivyo hata kama itatokea wakazungumzia jambo zito na la msingi watu hawatashtuka. Tatizo la Uongozi wa kupeana.
 
kama mambo yenyewe ndiyo haya,wacha wengine tuendelee kusotea makaratasi mpaka kieleweke
 
Mawaziri wa mikopo katika serikali za wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu jana waliitisha kikao na kuutaka umoja wa vijana wa ccm kuacha kuingilia utendaji wa bodi ya mikopo na kutoa ushauri usio na tija wa kutaka bodi hiyo ivunjwe bila kushauri hatua mbadala. Tamko hilo lilikua na jibu kwa UVCCM ambao kupitia mjumbe wake zamaradi kawawa uliitaka serikali ya chama cha mapinduzi kuivunja bodi ya mikopo kwa kua imeshindwa kutimiza majukumu yake. Wakiongea na waandishi wa habari mawaziri hao wa mikopo waliionya uvccm iache kujitafutia umaarufu kwa kua bodi ya mikopo sio mali ya uvccm. Walisema ushauri uliotakiwa kutolewa ni wa kuboresha bodi hiyo. Aidha mawazili hao wa mikopo wameiomba serikali kuongeza pesa za kujikimu na malazi kutoka sh. 5,000 hadi sh 10,000 kutokana na kuongezeka kwa garama za maisha. Source: itv news sa mbili usiku jana. .
Safi sana Samir Nasri. Ukweli ndio huo
 
Huyo Ridhiwani Kikwete si aliombwa na babake ampigie kampeni? Ameshindwaje kushirikiana na mama amshauri mzee avunje hiyo bodi?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom