TanzActive
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 367
- 73
Hii sio kweli Lazima Kunji ingemwagwa ,pale naamini hapa wanafunzia wanajua wao ndo chanzo kama sio basi SERIKALI IMSHINDA KATIKA MKAKATI WA KUJENGE TAIFA LA WAOGA NA akina NDIO BWANA wakianzia kwa wadogo zetu.Hii Enzi zetu isingevumilika!!!!WanaJF, kuna tetesi kuwa, mpaka sasa ni wiki ya tano inaingia tokea mhura wa pili ulipoanza lakini bodi ya mikopo haijaweza kuwapa wanafunzi fedha za kujikimu,.