Wanafunzi UDSM wadaiwa kuuza miili kukidhi mahitaji yao

Maisha ya wanachuo kwa kweli yanasikitisha sana, lakini sidhani kama wakiongezewa posho watabadilika.

Makubaliana na wewe. UDSM na vyuo vingi vya elimu ya juu, kuna Culture fulani hivi ya ajabu sana na akina dada wengi hujihusisha nayo. Culture ya kushindana nani ana vitu vya bei mbaya na kuishi kama mtoto wa familia bora.

Huu utamaduni wa wanafunzi wa kike kuchukuliwa na mapedezee waliokubuhu kwenye ngono na kuishi na maambukizi ya kila aina maradi ya ngono pamoja na ukimwi kwa supply huduma za pesa kwa wanafunzi ipo siku nyingi sana. Hebu fika mabibo Hostel ujionee jinsi magari ya wazinzi wa mjini yanavyopishana. Zamani kabisa hali hii ilikuwa inaonekana Hall 3 na Hall 6 (Mabweni yaliyotengwa maalum kwa wanafunzi wa kike). Walikuwa na msemo kupigana 'EXILE' Yaani chumba cha watu wawili wanaambiana kuwa mmoja asirudi mpaka saa fulani kwa kuwa mwenzake atakuwa anampatia huduma pedezee wake.

Mbaya zaidi ni kwamba wazinzi wa mjini wanajitahidi sana kurubuni wanafunzi wa kike kwa kuwa tu mahitaji yao mara nyingi hupita pesa wanayopata kwa ajili ya show up kama (kutengeneza Nywele, kuvaa nguo na viatu vya kisasa kila vinapotoka, kununa simu za gharama, kujifanya hawaendi Cafeteria ya Manzese).

Ila kwa mwanafunzi anayejua lililompeleka anaweza kabisa kujiepusha na matumizi haya ya Ziada ambayo ndiyo chanzo cha kujiuza kwenye vyumba vyao, japo kwa wengi huwa na permanent suppliers of resources kama wanazo au hata kubadilisha kulingana na mahitaji.

Ukweli ni kwamba wanafunzi wa elimu ya juu ni watu wazima na wengi wanajua wanalofanya cha muhimu ni kuwapatia elimu ya UKIMWI badala kusingizia kuwa wanautafuta kwa kukosa hela ya kujikimu. Wengi wa wanafunzi hawa huingia kwenye biashara hii kwa tamaa na show up. Siku hizi mpaka wauza nyanya wa manzese kama wana hela wanafikiria kwenye kuonja wasomi wa mlimani, huku ni kujishusha sana.
 
Hoja ya Waziri wa Afya na chakula wa chuo kikuu cha UDSM ina lengo la kushawishi kamati ya Bunge ya mambo ya ukimwi ili iwahurumie wanachuo wanaotaka mikopo. Kwa upande mmoja ni nzuri kwa kuwa inalega kuweka msukumo zaidi kwa viongozi ili waharakishe kutoa mikopo. Lakini kwa upande mwingine ni ya udhalilishaji kwa wanajamii wa chuo kikuu cha UDSM hasa wa jinsia ya kike.Sidhani kama ni kweli wanachuo hao wanafikra finyu kiasi hicho kwamba wakiwa na shida ya fedha tu rasilimali rahisi sana kuuzika ni miili yao. Kuamini hivyo ni kudhani wanachuo wetu WASOMI wa ngazi ya chuo kikuu wanaweza kutafuta jibu la mkato kiasi hiki bila kupima athari za uamuzi wa jinsi hii. Hii ni sawa na kusema tuna wasomi wenye mtizamo finyu sana. Ni matusi kwa mfumo mzima wa elimu kuwa unazalisha wanachuo wenye uchambuzi finyu. Jambo ambalo si la kweli hata kidogo.
Pili siamini kama amefanya utafiti wa kisayansi kujua kama kweli wanaojiuza ni wanachuo wa UDSM. Watu wakienda sehemu za starehe hawawi na nguo sare wala vitambulisho. Anapataje ushahidi kuwa wale aliowaona ni wanachuo wa UDSM? Je ni wanafunzi wangapi kati wasiopata mkopo huenda kujiuza miili yao? Na wangapi kati yao hajiuzi. Je anawajua background yao kabla ya kuja chuo kiku cha UDSM kama walikuwa na tabia ya kujiuza miili yao au la? Ana juaje kama wanaojiuza ni wale waliotoka mikoani na si vinginevyo. Kusema kuwa ni wanafunzi wanaotoka mikoani ni matusi kwa watu wa mikoani kuwa hawana uvumilivu na maadili kwa pamoja. Anapaswa kutuomba radhi kwa sababu kwenye kumbi za starehe watu hawjitambulishi asili yao ni wapi.
Hata kama nia ni mikopo si busara kuzua mambo kama vile hatoki kwenye jamii ya wasomi.
Haja tuambia wanachuo waliopewa mikopo mapema walikuwa asilimia ngapi na baada ya kuwacheleweshea maambukizi yako asilimia ngapi ili tupime ongezeko liko kiasi gani. Je wana chuo kabla ya kufika chuoni wanapimwa na baada ya kucheleweshewa mikopo pia wanapimwa, ili tujue ongezeko linalotokana na kuchelewa mkopo. Si vema kusema kama vile si msomi, No research no right to speak . Huyu ataomba kura ya ubunge katika bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania na kusema ana uzoefu wa uongozi wa UDSM?
 
Aliongeza kuwa hata wanafunzi wanaume wanapokosa mikopo na mabweni ya kulala vyuoni huwa katika wakati mgumu na kulazimika kuishi na wanawake waliowazidi umri huko mitaani.

Wanafunzi wa chuo kikuu wanafuatiliwa wanalala na watu wa umri gani siku hizi?
 
Asungwile usiwe mwepesi wa kumhukumu mtu pata kwanza logic yake, halafu amesema "baadhi" na hajajeneralize kama unavyoelezea, ishu ya kujiuza kwa wanachuo ipo na sio UDSM peke yake sababu watu tunatokea familia, malezi na sehemu tofauti tofauti. Ila sababu kubwa inayofanya wasichana kujiuza ni tamaa na competition kati yao kwamba nani ana vitu vya gharama. Binafsi mabibo mwaka jana nilipata chumba mabibo nikakutana na room mates kama hawa, nyumbani kwao ni well of, lakini usiku lazima wakafanye biashara tena kwa wazungu wakidai ndo wenye mshiko mzuri. Kwa hiyo cha kujiuliza ni kwamba tabia hii ipo au haipo? Na kama ipo nini kinasababisha na sio kum attack mtu, kwani sio wote unaowaona chuo wana fikra na mawazo kama yako, wengine wapo chuo kutengeneza historia.
 
Hapa mi naona kuna hasty generalisation.. hasemi ni asilimia ngap wanajiuza, plus vyuoni kuna watu wazima wengine walikuwa wanajiuza kabla hawajaja kusoma.. hili pia liangaliwe' hii njia ya kudai mikopo kwa kutangaza shida ni a "two edged sword" waziri.. at the same time unawadhalilisha wanafunzi wenzako. katika dunia ya sasa hatuwezi kukataa kwamba kuna wanafunzi wanajiuza ila tusifanye ionekane kama ni tabia common kwa wanafunzi kwani wapo wengi tu ambao hawajiuzi.. je nani anawaongelea hawa.. ni hayo tu
 
Vipaumbele kama taifa hatuna!! Chuo kinazidiwa na shule za sekondari kimazingira mazuri ya kusomea! I was frustrated when I joined the university for the first time about 8 years ago from Mwanza, the same problem has existed for more than 2 decades now. Licha ya kutokuwa na hostel za kutosha, hata mazingira basi ya kutolea hiyo elimu nayo yanashindikana kuwa kwenye emergency plan? Walimu hawatoshi, vifaa vya kufundishia, Ofisi za walimu, majengo hayatoshi its really sad to see such an old university being in such condition. Ukiuliza, utaambiwa jibu "suala hilo liko kwenye mipango ya chuo" miaka nenda rudi.

hayo maneno nami niliyakuta,,,,,tena enzi za sasa za RWEKAZA
 
Hapa mi naona kuna hasty generalisation.. hasemi ni asilimia ngap wanajiuza, plus vyuoni kuna watu wazima wengine walikuwa wanajiuza kabla hawajaja kusoma.. hili pia liangaliwe' hii njia ya kudai mikopo kwa kutangaza shida ni a "two edged sword" waziri.. at the same time unawadhalilisha wanafunzi wenzako. katika dunia ya sasa hatuwezi kukataa kwamba kuna wanafunzi wanajiuza ila tusifanye ionekane kama ni tabia common kwa wanafunzi kwani wapo wengi tu ambao hawajiuzi.. je nani anawaongelea hawa.. ni hayo tu

like a father like a son,,,,kwan rais anaombaje misaada huko UGHAIBUNI????ni kwa kutumia shida
 
Last nyt nimeongea a rafiki yangu,yeye anaish dodoma,anasema huko nako hali nimbaya sana,,,,wasichana wanajiuza kwa dau rahisi sana,buku 2 hadi 3 unamzoa,,,,wakienda bar au restaurant wanaenda kutega tuuuu,,,,,na si vinginevyo
 
Hivi wanajipanga wapi?
natamani kuwaona.

ngoshwe hii picha umebandika tu ilishatoka kwenye udaku kitambo kidgo
tutafutie picha za hao vimodo wa udsm pale hongera, joly pub au K bar kama upo dar

Haa..wakiwa mtaani huwezi kuwatambua.. E.KiBONDE kwenye Jahazi amewachana sana akidai wanafunzi wa UDSM, anadia

"HIVI HAWA WATOTO HAWAOGOPI GONJWA HATARI LA UKIMWI, wanapotumia deep stick zao kupima kila aina ya garil??"
 
Last nyt nimeongea a rafiki yangu,yeye anaish dodoma,anasema huko nako hali nimbaya sana,,,,wasichana wanajiuza kwa dau rahisi sana,buku 2 hadi 3 unamzoa,,,,wakienda bar au restaurant wanaenda kutega tuuuu,,,,,na si vinginevyo

Pale SAUT balaa. last week nilikuwa Mwanza ROYAL PUB nikabahatika kukumbana na shetani wa Ki SAUT, pale VILLA PARK huwezi kuwatofautisha na machangu waliokubuu..wanamiminika kama siafu.
 
Kawaida yao hao. Si ndio hawa hawa wana iangamiza nchi hii kwa ufisadi na Kupiga piga Picha na Wahuni kama 50 cent, Beckham, Steven sigel, Boy2men n.k.
na hao watu wenyewe wapiga picha ni wahuni mi ningekuwa napiga flash tu aibu
 
Hapa mi naona kuna hasty generalisation.. hasemi ni asilimia ngap wanajiuza, plus vyuoni kuna watu wazima wengine walikuwa wanajiuza kabla hawajaja kusoma.. hili pia liangaliwe' hii njia ya kudai mikopo kwa kutangaza shida ni a "two edged sword" waziri.. at the same time unawadhalilisha wanafunzi wenzako. katika dunia ya sasa hatuwezi kukataa kwamba kuna wanafunzi wanajiuza ila tusifanye ionekane kama ni tabia common kwa wanafunzi kwani wapo wengi tu ambao hawajiuzi.. je nani anawaongelea hawa.. ni hayo tu

Isingekuwa rahisi kufanya utafiti wa kina kupembua kwa asilimia au idadi na kujua je wanaojiuza wanafunzi au lah. Kilichofanyika ni kutoa picha kwa ujumla wake na ikumbukwe kuwa waliowasilisha hoja hii ni wanafunzi wenyewe wa UDSM ambao wanafahamu hali halisi ilivyo hapo chuoni kwa sasa. Suala la Kungonoka si rahisi sana ukaweza kulithibitisha kwa takwimu kwani kwa kawaida biashara ya kuuza sehemu za siri mara zote huwa ni SIRI kama kile kinachouzwa.
 
hii ni hatari.

Wanawake tu.....mbona sijaona anasema wanaume nao wanabeba zege au kupiga ushoga? Au wanaume wote wamepata mikopo 100% tena kwa wakati? Kama siyo uzushi basi kina dada mjipange...maisha kupigana siyo kusubiri bahati.
 
siku moja.....nilikuwa napita maeneo ya mabibo hostel....nikitokea ubungo .....nilipofika maeneo ya pale nilishangaa kuona wadada wengi........nikajua abilia wakati nashangaaa shanga kuna dada aliniita na akaniambia kaka karibu....show time buku mbili......chumba cha kwangu.....ukitaka kulala andaaa elfu 30..pamoja na chumba.......sikufahamu kama ni kweli ndo wanafunzi wa udsm au wachafua njia.
 
Back
Top Bottom