Kwanza ni waongo china kupata ajira safi ni mpaka uwe unaongea kiingereza. Universities kwa bachelor wanafanya CET4 college engilish test tena 4 credits na CET6 also 4 credit ukilinganisha na masomo mengine 1-3 credits na it is a compalsory subject. kuingia master na phD pamoja na masomo mengine lazima ufanye mtihani wa kiingereza na ufahulu. kwa sababu lazima waelewe research na technologia za nchi zilizoendelea maake uko ndo wanakoiga.hapa mtu anadanganya kwamba wachina wameendelea kwa kutumia lugha yao. lazima ujue maendeleo ya wachina imeletwa na watu wachache hawa wanatumwa na comunist party kusomea technologia ulaya na america. wakirudi technologia waliosomea inatekelezwa jinsi ilivyo.Hao wanafunzi waache kupoteza muda, kama wana kipenda sana kiswahili basi wote wakafanye PhD za kiwahili.