Wanafunzi tuliosoma Uganda tunafanya vipi maombi TCU?

Aman kiki

New Member
Jul 5, 2016
4
1
Msaada jamani,
Kwa wale wanafunzi waliosomea nje ya nchi especially Uganda tunaomba msaada jinsi ya ku apply TCU kwa anayefaham coz mwaka huu inakuwa ngumu kufanya application na hawajatoa sababu yoyote.
 
msaada jaman
kwa wale wanafunzi waliosomea nje ya nchi especially uganda...Tuna omba msaada jinsi ya ku apply TCU kwa anaye faham coz mwaka huu inakuwa ngumu kufanya application na hawajatoa sababu yoyote.

Yanini upate taabu si uunganishe tu Vyuo Vikuu vya huko huko? Watu wengine mnapenda mno complications na sasa zinawagharimu.
 
Unaenda NECTA. unaomba kubadili vyeti kila chet 50 elf. Unasubir kama week wakisha akiki kama hamna shida kuna vyeti utapewa vya necta . Then unapply kawaida. Ila shida inakuja kama huna credit za kutosha sanasana fm 4
 
Yanini upate taabu si uunganishe tu Vyuo Vikuu vya huko huko? Watu wengine mnapenda mno complications na sasa zinawagharimu.
life in uganda is to simple na shaur ata waliokosa hizo 2PRINCIPAL PASS wa apply UG na Zambia,Kenya kuliko kusota na diploma ambayo una uhakika kama utaikuta 3.5 gpa
 
life in uganda is to simple na shaur ata waliokosa hizo 2PRINCIPAL PASS wa apply UG na Zambia,Kenya kuliko kusota na diploma ambayo una uhakika kama utaikuta 3.5 gpa

Naomba ufafanuzi kwa kauli yako kuwa " life in Uganda is too simple " unataka kumaanisha kuwa Elimu ya Uganda ni mbovu / mchekechea au ni very cheap? Nasubiri jibu lako ili " nitiririke " nalo vizuri kwani binafsi nimepita huko 1996 - 1999 na 2000 - 2001 na najua thamani kubwa ya Elimu ya Uganda na vile vile nitaweza kukupa sababu ya kwanini Watanzania wa sasa wanaokwenda kusoma Uganda wakirudi huku wanakuwa siyo competent na sometimes wanadharaulika. Nawaheshimu sana Waganda kwa Elimu yao and I am proud of them.
 
Naomba ufafanuzi kwa kauli yako kuwa " life in Uganda is too simple " unataka kumaanisha kuwa Elimu ya Uganda ni mbovu / mchekechea au ni very cheap? Nasubiri jibu lako ili " nitiririke " nalo vizuri kwani binafsi nimepita huko 1996 - 1999 na 2000 - 2001 na najua thamani kubwa ya Elimu ya Uganda na vile vile nitaweza kukupa sababu ya kwanini Watanzania wa sasa wanaokwenda kusoma Uganda wakirudi huku wanakuwa siyo competent na sometimes wanadharaulika. Nawaheshimu sana Waganda kwa Elimu yao and I am proud of them.
yap kaka elimu ya ug ni simpo ndo mana wengi wanaenda uko na div 4 za form 4 na kuendelea na form 5 na kuhusu ilo swala la kudhalaulika si kwel njoo mwanza hujionee mwenyew graduate weng mbona ni wa ug college
 
yap kaka elimu ya ug ni simpo ndo mana wengi wanaenda uko na div 4 za form 4 na kuendelea na form 5 na kuhusu ilo swala la kudhalaulika si kwel njoo mwanza hujionee mwenyew graduate weng mbona ni wa ug college

Kijana hapo kwenye neno " simple " ndiyo unanitesa. Hebu eleweka basi vizuri ili tusichoshane zaidi tafadhali!
 
life in uganda is to simple na shaur ata waliokosa hizo 2PRINCIPAL PASS wa apply UG na Zambia,Kenya kuliko kusota na diploma ambayo una uhakika kama utaikuta 3.5 gpa
Kusoma tz ni shida kwakweli, huu ushauri mzuri Sana
 
msaada jaman
kwa wale wanafunzi waliosomea nje ya nchi especially uganda...Tuna omba msaada jinsi ya ku apply TCU kwa anaye faham coz mwaka huu inakuwa ngumu kufanya application na hawajatoa sababu yoyote.
Andaa laki na nusu (elfu hamsini kwa kila subject) nenda necta wafanye "equation". Kwa kawaida A ya kule ni A ya huku, B=B na C=C.
Kasheshe ni kwenye form 4 utakoma nani alikwambia ukasome nje ya nchi!
 
Andaa laki na nusu (elfu hamsini kwa kila subject) nenda necta wafanye "equation". Kwa kawaida A ya kule ni A ya huku, B=B na C=C.
Kasheshe ni kwenye form 4 utakoma nani alikwambia ukasome nje ya nchi!
HIV NI KWEL MKUU? ME NAONA KAMA ZA UGANDA ZINASHUKA UKI CONVERT NA ZA KIBONGO ILA BONGO KWENDA UG ZINAPANDA
 
HIV NI KWEL MKUU? ME NAONA KAMA ZA UGANDA ZINASHUKA UKI CONVERT NA ZA KIBONGO ILA BONGO KWENDA UG ZINAPANDA
Not true, ni kama wengine wanavodanganyana ati elimu ya kenya na Uganda ni ndogo kulinganisha na tz, wakati walimu toka huko ndo wamejaa medium and international skool
 
Kijana hapo kwenye neno " simple " ndiyo unanitesa. Hebu eleweka basi vizuri ili tusichoshane zaidi tafadhali!


Ngoja ni kusaidie ni hivi hakuna Mtz aliyefaulu kwa daraja la juu yaani I-II akaenda kusoma Uganda, Kenya sijui Malawi &Co. wote wanaokwenda huko ni wale ambao hawakufaulu vizuri hapa TZ na kukosa na nafasi, hiyo ndiyo tafsiri halisi kwa kifupi hakuna MTz aliyepata daraja la I - II akaondoka na kwenda kusoma Uganda, ni rahisi kihivyo tu!
 
Not true, ni kama wengine wanavodanganyana ati elimu ya kenya na Uganda ni ndogo kulinganisha na tz, wakati walimu toka huko ndo wamejaa medium and international skool


Hao Walimu wamejaa siyo kwa sababu ya ubora wao bali TZ hakuna walimu wa kuziba hilo pengo, ndiyo sababu na ndiyo maana hao Walimu karibia wote wa Kenya, Uganda &Co.wanafundisha Shule za Binafsi lkn hakuna hata mmoja anaweza kupta kazi Shule zetu za Serikali!
 
life in uganda is to simple na shaur ata waliokosa hizo 2PRINCIPAL PASS wa apply UG na Zambia,Kenya kuliko kusota na diploma ambayo una uhakika kama utaikuta 3.5 gpa
Kenya life is so expensive... ada kwanza na basic needs unasanda. Maybe Uganda
 
HIV NI KWEL MKUU? ME NAONA KAMA ZA UGANDA ZINASHUKA UKI CONVERT NA ZA KIBONGO ILA BONGO KWENDA UG ZINAPANDA
Uganda high school education yao iko chini, sishauri mbongo atoke Huku aende huko kusoma maybe college. In East Africa nchi yenye viwango bora ni Kenya. Ndo maana ukisoma Kenya uje bongo unakubalika ila ukisoma Uganda wanakudharau coz tumewazidi
 
Msela wangu nilimaliza nae O Level akapata four mbaya akaenda UG now ni degree holder

Inawezekana UG mambo ni easy kiasi
 
Msaada jamani,
Kwa wale wanafunzi waliosomea nje ya nchi especially Uganda tunaomba msaada jinsi ya ku apply TCU kwa anayefaham coz mwaka huu inakuwa ngumu kufanya application na hawajatoa sababu yoyote.
wa uganda wengi vyeti feki tupuuuu
 
Hata hivyo Watanzania wengi wanaokwenda kusoma Uganda unakuta huku Tanzania sifa hazitoshi kujiunga kidato cha tano! yawezekana hiyo form six yako ya Uganda huku utatakiwa kuanza Diploma sio Bachela
 
Andaa laki na nusu (elfu hamsini kwa kila subject) nenda necta wafanye "equation". Kwa kawaida A ya kule ni A ya huku, B=B na C=C.
Kasheshe ni kwenye form 4 utakoma nani alikwambia ukasome nje ya nchi!
Umeweka na chajuu nn" gharama ni elfu 50 tu kubadili matokeo necta baada ya wiki unayapata then unapeleka TCU baada ya hapo ndio una apply..lakini kama form 4 ulikua huna Credit 3 yani C tatu basi ndugu apply deploma tu. Degree hakuna tena hapo
 
Back
Top Bottom