misorgenes
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 206
- 50
wengi hatunatabia ya kutojisomea mara kwa mara, balaa linakuja tunapotangaziwa test au mtihani, hapo watu wanakesha(kubundi) usiku kucha. hivi lini tutaacha hii tabia ya zimamoto????
Mmmhh Sijui!!! hata mie nahisi umenigusa ila kwa mimi nahisi ninamambo mengi ninayotingwa nayo sijui kwa wanaokaa bure