kwanza napenda kuwapongeza wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu wanaopigania haki zao. nimefuraishwa na ujumbe wa mabango yao kwamba kama serikali ina mabilioni ya kulipa mafisadi wanakosaje fedha za kuongeza posho? madai ni ya msingi maana vyakula vimepanda sana hadi dada zetu wanajiuza wajikimu. nilikuwa nimekata tamaa na kizazi hiki ila sasa naamini ni kikazi cha kimapinduzi na naamini kupitia kizazi hiki tutaibwaga ccm na kupata utawala unaojali watu na kupiga vita ufisadi