Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Tushare experience za watu ambao ulisoma nao mashuleni na walikua gumzo sana hasa tupe tabia zao je ni wizi, uvutaji bangi n.k binafsi namkumbuka jamaa alikua anaitwa peter alikuwa ni tyson wa shule yani humwambi kitu akivuta mabangi yake wewe je