Nimesoma katika gazeti la mwananchi la leo nimestushwa na taarifa kwamba wanafunzi elfu 5200 waliofaulu kuingia kidato cha kwanza hawajui kusoma wala kuandika. Ndugu wana JF tukiwa katika karne ya sayansi na technologia halafu una watoto wanahitimu elimu ya msingi kisha hawajui kusoma wala kuandika. Tunaenda wapi?
Naomba kuwasilisha
Source: Gazeti la Mwananchi la tarehe 10/04/2012
Naomba kuwasilisha
Source: Gazeti la Mwananchi la tarehe 10/04/2012