Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,425
- 725
- Thread starter
- #21
Mkumbuke kuwa CCM wana maana sana kuanzisha JK-T. Hapa hakuna lolote bali kutengeneza watu wa ZIDUMU FIKIRA ZA MWENYAKITI. NIkiangalia viongozi wengi wa TZ ambao hawaezi kuoji wakati mwingine wakiwa wanaonewa ni wale wote waliopitia JK-T.
Nch inakaribia kurudi kwenye zidumu fikira za mwenyekiti. Wameona jinsi vijana wanvyoleta shida kwenye vikao vingi sasa wanataka kuwadhibiti
Wakati ule JKT ilisaidia sana kudumisha fikra kama unavozitaja.Katika mfumo wa vyama vingi, malengo ya kuanzisha tena JKT lazima yabadilike, ama sivyo chama tawala ndicho kinaweza kufaidika na mpango huu, kama usemavyo...