Wanafunzi 40 waliosimamishwa masomo waanza kujohiwa

Andrew Nyerere

JF-Expert Member
Nov 10, 2008
3,007
2,429
Wale wanachuo wanaanza kuhojiwa mmoja mmoja to determine what should be done with them. Mi najiuliza,Can you get someone to testify against them?

Hata yule mwanafuni aliyesema kwamba aliwaona wanafanya fujo,ukimpeleka atoe ushahidi, when push comes to shove, akielewa kwamba ushahidi wake unaweza kusababisha mwenzake afukuzwe; will he give adverse testimony? Or can he be convinced to say whaever is needed to make sure his fellow students are set free?

Whatever the outcome of this,kwa hawa wanafunzi 40,na wale watatu walio Mahakamani,wale watakaotoa ushahidi wanayo responsibility kubwa.
Sjeria zanamlinda mtu asitishwe wakati anatoa ushahidi.

Lakini,when the excitement of the event is over,hakuna mtu analazimishwa kuzungumza maneno ambayo he is not convinced about any more.
 
Kumfukuza mwanafunzi ni kumuua. Kama alivyokuwa anasema yule lecturer wa UDSM juzi,kumfukuza Mbunge kutoka kwenye Chama ni kumuua. Madaraka ya kuua yasiwekwe katika ngazi za chini za uongozi. Huo ndio Utawala Bora.
 
Kumfukuza mwanafunzi ni kumuua. Kama alivyokuwa anasema yule lecturer wa UDSM juzi,kumfukuza Mbunge kutoka kwenye Chama ni kumuua. Madaraka ya kuua yasiwekwe katika ngazi za chini za uongozi. Huo ndio Utawala Bora.

Maelezo yako nayapinga kabisa hapa,je kama mtu huyo/watu hao wanaharibu mustakabali mzima wa elimu na wao ni wachache sasa si bora wakafukuzwa ili kuwalinda au kuwasaidia ambao hawajihusishi na lolote? Njb hapa tuendelee
 
Wale wanachuo wanaanza kuhojiwa mmoja mmoja to determine what should be done with them. Mi najiuliza,Can you get someone to testify against them?

Hata yule mwanafuni aliyesema kwamba aliwaona wanafanya fujo,ukimpeleka atoe ushahidi, when push comes to shove, akielewa kwamba ushahidi wake unaweza kusababisha mwenzake afukuzwe; will he give adverse testimony? Or can he be convinced to say whaever is needed to make sure his fellow students are set free?

Whatever the outcome of this,kwa hawa wanafunzi 40,na wale watatu walio Mahakamani,wale watakaotoa ushahidi wanayo responsibility kubwa.
Sjeria zanamlinda mtu asitishwe wakati anatoa ushahidi.

Lakini,when the excitement of the event is over,hakuna mtu analazimishwa kuzungumza maneno ambayo he is not convinced about any more.

Ni wale wa kipindi kile cha mgomo wa Nov mwaka jana au hawa wa Jan mwaka huu?
 
Back
Top Bottom