Huyu Sultani wetu alikweda Misri kwa Mubarak kujifunza jinsi ya kumuandaa mwanae [ Ridh....] aje kuwa mrithi wake atakapoondoka!! Inaelekea masomo aliyoyapata muungwana huko yanaweza kumfikisha pabaya kama alivyofikishwa mwalimu wake huko Misri!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.