Wakuu,naomba mnijuze ili,Mtu akiazisha Blog,kituo cha tv n.k.anapataje faida?au kuna ruzuku yoyote anayoipata?asante kwa kuchangia kwa u serious.Nimeelewa
nijuavyo matangazo wanayoweka ndio yanayowalipa-kama blog/website yako ni popular iatapata matangazo mengi na wewe utakuwa unacharge hayo matangazo-though nazani wanacount kila tangazo linapokuwa linafunguliwa(kwa blog/website)kwa redio/tv nazan kila tangazo linapokuwa linataja na muda linalokuwa linaonyeshwa.
Kama Rage mbunge, kuna wabunge wengi wenye redio kwa minajili ya kisiasa.Hata redio 5 na Tv 5 ya Arusha ni ya kigogo wa kisiasa.
Na mimi naanzisharedio na Tv yangu ili mwaka 2020 nigombee urais!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.