Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Vyuoni utasikia mwanadada mrembo akitokea darasa limemkubali na hashikiki wenzie huanza kumkandia ya kuwa hizo ni "maksi za chupi"
Hivi kuna ukweli hapo au ni wivu wa "sizitaki mbichi hizi" huku wakijua zimewiva?
Hivi kuna ukweli hapo au ni wivu wa "sizitaki mbichi hizi" huku wakijua zimewiva?