mpenzi wako anakupigia simu au kukutumia ujumbe mara nying ila kila mkikutana anataka ngono 2 na si mambo mengine na hakisha kamilisha anakuaga na kuendeleza mawasiliano ya simu 2!je m2 km huyu unamchuliaje?
unapigia jibu mstari. huyo it is obvious anashida ya kukuona iili umpe ngono kwa kuwa huduma hiyo haipatikani kwa simu. hilo mbona umelisema hata halihitaji mjadala???